mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,791
50,000? Kama hio ndio imekufanya ujje kufungua uzi wa malalamiko funga tu biashara.Yaani wanenipa tin, alafu wakaniambia nikalipe asilimia 10, ya Kofi yangu ya mwaka mzima. Nikalipa elfu hamsini hapo hata cjafungua, nikamwambia ndugu yangu cjaanza hata biashara yenyewe hii pesa mliyonikadilia ntaitoa wapi?, wakasema Dada hiyo ndo kima cha chini kwa wenye biashara ndogo. Niliondoka TRA huku machozi yananitoka nikakaa home siku3 sijafungua nawaza nifanyaje alafu nilipo nisehemu ambayo haijachangamka kabisaaaa.
Wakuu HV nikienda kuwaambia biashara imenishinda watanielewa kweli au bado watataka niwalipe nimekosa aman, hii nchi yetu jaman inakoendea mbona ....
Ongea na mwenyekiti wa mtaa akuandikie barua kuwa umefunga biashara yako hadi pale utakapowalisha tena kuwa umefungua. Wataluuliza kwa nini, waambie umeamua ukasome CBE kwanzaWakuu HV nikienda kuwaambia biashara imenishinda watanielewa kweli au bado watataka niwalipe nimekosa aman, hii nchi yetu jaman inakoendea mbona ....
Hiyo elfu50, ni asilimia 10 ya pango ya mwaka mzima. Hapo bado cjaanza hata kutoa mapato yao50,000? Kama hio ndio imekufanya ujje kufungua uzi wa malalamiko funga tu biashara.
Machine ya nn mkuu[QUOTE="Madam vivian original, post:.
Naomba ushaur nifanyaje jaman[/QUOTE
Kabla hujaweka io Machine, ulikua na Tin????
andika barua ya aidha kupungizwa kodi au kushindwa/kufunga biashara kutokana na changamoto mbali mbali, utaeleweka.Wakuu HV nikienda kuwaambia biashara imenishinda watanielewa kweli au bado watataka niwalipe nimekosa aman, hii nchi yetu jaman inakoendea mbona ....
Kuna watu wawili wanaweza kukuelewa na kukusaidia!Wakuu hbr za w,Keend.
Aisee nimesota SNA kulogin jf cjui kwann imekua tabu SNA kuingia imebidi nifungue I'd nyingine ili nipate kuwasiliana na marafiki zangu. Aiseee nimewamiss mno.
Turudi kwenye mada
Wakuu nimeamua kujichanga nimefungua biashara yangu ya salon ya kike, japo salon yenyewe ni yakawaida SNA Nina binti anajua kusuka SNA nikaona ngoja nimuekee hata drayer moja, wakija wakuosha awe anawakausha.
Basi bwana nikasema ngoja niende TRA nikapate tin no, ndo kasheshe lilipoanzia wamenikadilia kodi kubwa na inabidi niilipe kabla ya tar30 DEC.
Wakuu nimechanganyikiwa mpaka sasa cjapata hata mteja wa kuosha zaidi ya wale wanaosuka nywele za mkono.
Nawaza cjui nirudishe hiyo TIN no yao nifunge biashara maana watanifunga jamani.
Naomba ushaur nifanyaje jaman
Watakuja kukukamata tu watakuja kuona malimbikizo makubwa ya kodi, ukija kufungua biashara nyingne utaendelea kutumia ile TIN No, mwisho wa siku utakuja kushtakiwa kwa uhujumu uchumiKwani ukifunga biashara ukaanza kuuza vitumbua watakuja kukuuliza...watakupatia wapi...
Kweli awe na subira tu maana yajayo yanafurahisha sana.awe na subiraa
ni kwelii badoo tunahitaji ya dreamliner mpaka zifike kumiiKweli awe na subira tu maana yajayo yanafurahisha sana.
Wananchi wazidi kulipa kodi tumalize SGR kabisa na Stiegler's Gorge.ni kwelii badoo tunahitaji ya dreamliner mpaka zifike kumii
shughuli itakuwa badoo sana kaka kuna vile viwanda vya cherehani vinatakiwa viwe vinachakata na kutengeneza malighafi zao pamoja na kuzalisha kwahiyoo afunge tuu akafunguee mtaa mwingineeWananchi wazidi kulipa kodi tumalize SGR kabisa na Stiegler's Gorge.