TRA Tanga ni majasusi

Usipende kuanya hearsay stories kuwa mainstream, Rwanda ipi unayoongelea ambapo shoe shiner ana efd?
 
kwanza toa neno majasusi kwenye heading
pili, lipa kodi, short cuts hazifai
 
Alie wauzia nahisi ndio kaenda kuwachoma pia,,au kuna mkuda mwingine katombesha wenzie tena unaweza kuta ni bodaboda mwenzao!!
 
Wakili mzuri ndiyo yukoje!? TRA kazowea kupokea,Leo hii yeye ndiyo alipe fidia!? Thubutu! Kumbuka hatuko ulaya,tuko Tanzania!!
Hapo kuna ethics za kazi zimekiukwa , na hiyo ni kosa la mtu binafsi , anaweza asilipwe fidia ila kuna wafanyakazi wa Tra watawajibishwa
 
Sasa tanga mkuu hao si mna malizana nao wote kabisa bila shida yoyote .adondoke mmoja mmoja tu hii nchi watu wame choka kuishi amna budi kuwa safirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…