Ila watz tuna nn hatupendi kufuata sheria tukikutwa na vimeo tunaanza lalamika. Hapo jirani Rwanda hadi shoe shine ana EFD MACHINE kosa upewe huduma usiombe risiti utajuta siku iyo. Fata sheria ua kubali kipigo. TRA ingekuwa jeshi kamili tuu ili tulipe kodi
Sasa tanga mkuu hao si mna malizana nao wote kabisa bila shida yoyote .adondoke mmoja mmoja tu hii nchi watu wame choka kuishi amna budi kuwa safirisha