ukabila upo lakini umepungua kwa kiasi kikubwa, nichukue nafasi hii niwakumbushe msikatishwe tamaa
ndugu zangu mjiandae vya kutosha hapo msimbazi centre mnaweza mkawa hata zaidi ya mia tatu, mtafanya
aptitude test....
Ambayo itakuwa na maswali yanayohusu tra in general, vision, mission, objectives,hasa ktk oral,
maswali ya hesabu, english, vat calculation, types of taxes. Sana sana waulize waliowahi kufanya interview ya hiyo post
kwani huwa wana tabia ya kurudia maswali. Lakini najua wengi watapaniki ktk hesabu na ktk vat calculation, niwashauri tena maswali yanaweza yakawa 60 na vipengele zaidi ya vitatu muda ni saa moja, hivyo jaribu kufanya maswali unayoweza kwa speed ya light(3x100000000m/s) ili uweze kufaulu,,,,ukifanya usiondoke kesho cheki matokeo kisha jiandae oral,.................mungu ni muweza>...........................