TRA, NSSF na NAO

TRA, NSSF na NAO

mzalendo91

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2010
Posts
430
Reaction score
138
Ni muda sasa toka hao waajiri hapo juu watangaze nafasi za kazi na wenye sifa wakatuma maombi yao..

Je, kuna mdau yeyote mwenye tetesi kuhusu lini hayo mashirika yatatoa shortlist ya watakaotakiwa kufanya mitihani yao ya usaili


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
MARANGU unaongelea zile kazi za nssf au hayo mashirika mengine!!?


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
Last edited by a moderator:
Mhh!.wat kwa kupenda kuwaweka wenzao viroho juu kama hujui c ukakimya 2 wat 2nashda ya ajra ww unaleta utan!
 
Ila kuna mtu kaniPM kaniambia NSSF bado hawajafanya interview


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
Tutauwana kwa presha jamani kuweni na huruma na binadam wenzenu jamani!
 
Labda ni nyingine lakini mwezi wa sita kuna interview zilifanyika za nssf
 
Ni muda sasa toka hao waajiri hapo juu watangaze nafasi za kazi na wenye sifa wakatuma maombi yao..

Je, kuna mdau yeyote mwenye tetesi kuhusu lini hayo mashirika yatatoa shortlist ya watakaotakiwa kufanya mitihani yao ya usaili


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
kwa uzoefu wangu Mtu akipata kazi zileee za operations officers NSSF,Aje atoe uShuhuda hapa,mashirika mengine ni wawazi sana bt hawa NSSF?HATA RIDHIWANI ALISEMA BUNGENI KAZI ZA MASHIRIKA KAMA NSSF TAYARI ZINA WATU,ANGALIA JF KTK Kumbukumbu,so hadi RIDHIWAN ANAOGOPA hawa jamaa hasa NSSF.HAKUNA UWAZI..
 
kwa uzoefu wangu Mtu akipata kazi zileee za operations officers NSSF,Aje atoe uShuhuda hapa,mashirika mengine ni wawazi sana bt hawa NSSF?HATA RIDHIWANI ALISEMA BUNGENI KAZI ZA MASHIRIKA KAMA NSSF TAYARI ZINA WATU,ANGALIA JF KTK Kumbukumbu,so hadi RIDHIWAN ANAOGOPA hawa jamaa hasa NSSF.HAKUNA UWAZI..

Ila kwa nilichosikia ni kuwa sio wote watakaoajiriwa watapelekwa huko kwenye kitengo cha operation ila wengine watapelekwa vitengo vingine


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
Ndugu waweza kuwa unafahamu idadi ya watu wanaotakiwa kwa nafasi ya operation officer pale NSSF?
 
Ndugu waweza kuwa unafahamu idadi ya watu wanaotakiwa kwa nafasi ya operation officer pale NSSF?

Inasemekana wanaweza kuwa zaidi ya 100


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
Back
Top Bottom