masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Moja ya mifumo mikuu ya mapato ya serikali, ni TRA~Tanzania Revenue Authority.
Katika miaka ya karibuni Taasiisi hii imekuwa very, very unstable kiutendaji.
Kodi uliyolipa leo ni tofsuti kabisa na miezi sita ijayo, na inategemea viongozi wa juu wamesema nini.
Turn over ya uongozi wa juu unaweza kuwa umechangia.
Kikubwa, instability ya makadirio ya kodi si tu inakatisha tamaa, bali hata watu kufunga biashara, wengine kukimbilia nchi za jirani na wawekezaji aidha kuondoka na kufunga miradi.
Wakati huo huo huo wawekezaji wapya wakiendelea kupungua.
Cha kushangaza mwaka jana January 2017, Waziri wa Fedha akiulizwa na waandishi wa habari kwa nini biashara 2,000 na zaidi zimefungwa, yeye alijibu kuwa hata yeye hajui!!
Na hilo ndo kina cha tatizo letu na masuala ya kodi.
Viongozi wetu wamegutuka mwaka huu, mapato ya kodi kupungua, ajira kupotea.
Habari toka Tunduma kuwa Mkuu wa Mkoa sasa anawatafadhalisha wafanyabiashara warudi bongo kulipa kodi, kwa vile kodi "zinazunguzika" ni jambo la kushangaza.
Wskati TRA ikiwanyonga wananchi kwa kodi zisizostahili, Serikali "Alikwina"?
Serikali ikumbuke kuwa wafanyabiashara wengi sasa hivi, hasa wazawa, ni wasomi, na wangependa kulipa kodi si tu zinazoeleweka bali zilixo stable na haziyumbishwi na matamko ya kisiasa.
Leo wananchi wa Tunduma wamekimbilia Zambia, sababu-usumbufu wa TRA.
LEO mafuta ya kupikia yameadimika, viwanda vya mafuta vinafungwa na wafanyakazi kusimamishwa~kisa TRA.
Cha kushangaza, viwanda hivyo vimekuwapo kwa miaka sasa.
TRA ni Taasisi inayoyumba sana na kuyumbisha uchumi wa nchi.
Katika miaka ya karibuni Taasiisi hii imekuwa very, very unstable kiutendaji.
Kodi uliyolipa leo ni tofsuti kabisa na miezi sita ijayo, na inategemea viongozi wa juu wamesema nini.
Turn over ya uongozi wa juu unaweza kuwa umechangia.
Kikubwa, instability ya makadirio ya kodi si tu inakatisha tamaa, bali hata watu kufunga biashara, wengine kukimbilia nchi za jirani na wawekezaji aidha kuondoka na kufunga miradi.
Wakati huo huo huo wawekezaji wapya wakiendelea kupungua.
Cha kushangaza mwaka jana January 2017, Waziri wa Fedha akiulizwa na waandishi wa habari kwa nini biashara 2,000 na zaidi zimefungwa, yeye alijibu kuwa hata yeye hajui!!
Na hilo ndo kina cha tatizo letu na masuala ya kodi.
Viongozi wetu wamegutuka mwaka huu, mapato ya kodi kupungua, ajira kupotea.
Habari toka Tunduma kuwa Mkuu wa Mkoa sasa anawatafadhalisha wafanyabiashara warudi bongo kulipa kodi, kwa vile kodi "zinazunguzika" ni jambo la kushangaza.
Wskati TRA ikiwanyonga wananchi kwa kodi zisizostahili, Serikali "Alikwina"?
Serikali ikumbuke kuwa wafanyabiashara wengi sasa hivi, hasa wazawa, ni wasomi, na wangependa kulipa kodi si tu zinazoeleweka bali zilixo stable na haziyumbishwi na matamko ya kisiasa.
Leo wananchi wa Tunduma wamekimbilia Zambia, sababu-usumbufu wa TRA.
LEO mafuta ya kupikia yameadimika, viwanda vya mafuta vinafungwa na wafanyakazi kusimamishwa~kisa TRA.
Cha kushangaza, viwanda hivyo vimekuwapo kwa miaka sasa.
TRA ni Taasisi inayoyumba sana na kuyumbisha uchumi wa nchi.