TRA mnafunga 'Comments' kwa nini, Mnampostia nani?

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
862
Reaction score
2,324
TRA wamekuwa wakifunga maoni kwenye posti zao. Sasa najiuliza kwani wao wanafanya kazi na wananchi au wanafanyia maelekezo kutoka juu.

Kama TRA inafanya haki kwa nini hawaweki maoni wazi ili watu watoe madukuduku yao.

 
Reactions: Lax
Hao TRA wajiangalie sana ni taasisi inayochafuka Kwa kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…