Tra / customs kunani?????'''''''''.

Tra / customs kunani?????'''''''''.

ZANDRANY

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
18
Reaction score
1
Wakati ikiwa ni bayana kuwa maafisaa wapatao (30) therathini wa Idara ya Forodha/yaani KAZI TAMU/Customs wamekabidhiwa barua za kusudio la kufutwa kazi, bila shaka inavuta zaidi kutaka kujua kuna nini kinaendeka humo nani ya KAZI TAMU???.
 
Halafu ameanzisha uzi na kusepa! tusimlaumu labda bado ana mning'inio wa ziada akiwa fresh huenda akarudi

Ngoja ninywe nyingi, nikilewa nitakuwa na mengi ya kusema,si unajua wengine tumeumbwa namana fulani,mpaka ukinywa ndiyo unapanda
 
Back
Top Bottom