jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,458
Kumbe tatizo Sheria na wala siyo Suma jktHata mimi walinizuiw kuingia,nimeapa sitalipa Kodi milele
Kumbe tatizo Sheria na wala siyo Suma jktHata mimi walinizuiw kuingia,nimeapa sitalipa Kodi milele
Alafu mnategemea mlipa kodi atajileta hapo kufanyiwa tathimini na kulipa kodi???Kila sehemu kuna utaratibu wake wa kuenenda ambazo ni justifiable kwa utamaduni wa eneo husika, sheria walizojiwekea watoa huduma na wakati mwingine kanuni tu za mahalibhusika. Si LAZIMA kutoa justification kwa mlaji wa huduma kwa nini zimewekwa.
Sheria ni sheria tu. Asipo kuja kufanyiwa tathini, tutamfata huko. Tumeajiriwa kwa kazi hiyoAlafu mnategemea mlipa kodi atajileta hapo kufanyiwa tathimini na kulipa kodi???
Hujawajua wafanyabiashara wewe.Sheria ni sheria tu. Asipo kuja kufanyiwa tathini, tutamfata huko. Tumeajiriwa kwa kazi hiyo