habarini za leo wakuu..
eti mshahara wa TPDC PS1 ni kiasi gani yaani ni shilingi ngapi?
Tafadhali.
Yani kabla hata hujawa short listed unauliza hela kiasi gani?
Unajua application zitakua zaidi ya 10,000?
jibu swali mkuu acha roho mbaya na kukatisha watu tamaa kha!km hujui kuwa mstaarabu, KAA KIMYA!
Gpa inapunguza watu sana
Gpa inapunguza watu sana