sENETOR..siku zote huwa hutoi majibu ya kweli ktk jukwaa la kazi na tenda, had kuna siku nilicoment kwa kukwambia piga chini cheo cha senetor na uweke KURUTA WA JESHI..
True yametoka ila ni katika nafasi za clerk c, medical attendant, sailor, crane operator na nafasi nyingine moja nimeisahau. Ila clerk C yako majina 701. Kazi kwenu wadau...
king2 labda mfumo wa tz ha2ufaham vema,ukwel ni kwmba tz sehemu nyngi kaz hutangazwa wkt tayar znawa2,kwa taarifa 2 kuna wa2 wa3 ambao wamemaliza udom dis yr kwa majina nawahfadhi wameshachukua hadi mikataba(contract) kwenda kusaini kwa kazi ambazo interview yke itafanyika kesho hpo TPA.