Toyota vitz kwa Mil 3

Toyota vitz kwa Mil 3

Nilikuwa najiuliza hili swali asee any way nililona kupatana, hii vits Inaonekana ilipigwa mzinga shavu la kushoto mbele

mjini kuguswa shavu kawaida, ndiyo maana ameirekebisha na kuipaint upya yote! 3m ni reasonable tu kama huko "kuchemsha" tatizo ni radiator pekee (?)
 
Hahahahaha,yaani watu wamezea uuziwa vitu bei kubwa.
Jamaa amekuja nabei ya ubwete watu wanataka apandishe bei.
Kuna mtu siku moja atakuja a Vogue hapa auze milioni 5,kisha watu tuseme imeibiwa south africa
 
Sijawah tangaza hili gar kwa sh. 5m. Hilo la kwanza!, pili matatizo ya hili gar nisha sema kama unahela njoo na fund wako akague kama atakuta matatizo tofaut na hayo niliyo sema, nimepunguza bei kutokana na uitaj wa fedha haraka! 4.7 milion watu waliokuja kucheki wenhi wao ni madalali mnunuz hakuna; nadhan nimeeleweka
basi utakuwa mwepesi wa kusahau mkali wa kukumbushwa...

kataa na hii post yako mwenyewe dalali..

Toyota vitz (year: 2000) for sale, very good condition only for 4.7 m. Call 0769038065
 
Rejeta (Radiator) haichemshi...
Kitu inayochemsha ni Injini.. Au unamaanisha Rejeta inavuja, hence injini kuchemsha???
Shokapu zimefanyeje, zimechoka??
Chukua M2 nikampe mtu zawadi.

Mkuu nilikwambia kuchemsha inaresult on cylinder head kufa so hapo lazima uweke nyingine. 2M size yake akikubali mpe!
 
Boxer nzuri kwa milion na laki sita imetembea 6 manth mawsiliano 0767353440 iko mosh
 
Back
Top Bottom