Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,100
Majibu yako yana uhusiano gani na muuliza swali uliye m-qoute?
reply yako ina uhusiano gani na comment yangu
Majibu yako yana uhusiano gani na muuliza swali uliye m-qoute?
Mimi natumia Harrier ya 2160cc haifiki hiyo 12/ltr. Msidanganye watu hapa na ushamba wenu wa magari. Mil. 36???Sasa unabisha kuhusu km 12 kwa lita kwa uzoefu au ilimradi? Mimi natumia harrier same engine na hiyo ulaji wake wa mafuta ndio upo hivyo sasa wewe sijui unatumia vigezo gani kubisha
Mimi natumia Harrier ya 2160cc haifiki hiyo 12/ltr. Msidanganye watu hapa na ushamba wenu wa magari. Mil. 36???