M mama kokuu Senior Member Joined Oct 11, 2012 Posts 131 Reaction score 22 Jul 29, 2013 #1 toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​ Attachments DSCN2279.JPG 476.9 KB · Views: 213 DSCN2286.JPG 493.1 KB · Views: 166 DSCN2287.JPG 401.7 KB · Views: 154 DSCN2289.JPG 478.2 KB · Views: 157
toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​
fabinyo JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 3,042 Reaction score 2,235 Jul 29, 2013 #2 mama kokuu said: toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​ Click to expand... napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms...
mama kokuu said: toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​ Click to expand... napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms...
mathcom JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,396 Reaction score 519 Jul 29, 2013 #3 Weka cc ngapi, mwaka wa kutengeneza, kilometer ilizotembea, ina accident au haina, haya ndio muhimu..
Weka cc ngapi, mwaka wa kutengeneza, kilometer ilizotembea, ina accident au haina, haya ndio muhimu..
M mama kokuu Senior Member Joined Oct 11, 2012 Posts 131 Reaction score 22 Jul 29, 2013 Thread starter #4 haina accident na kutumia mafuta lita 45 mpaka arusha nina uhakika kwa kuwa nimeshasafiria mimi na kwenda chalinze na kurudi ni lita 15 kwa kuwa ninamradi wa kuku wa kienyeji huwa nawafata chalinze kila j5 pale sokoni
haina accident na kutumia mafuta lita 45 mpaka arusha nina uhakika kwa kuwa nimeshasafiria mimi na kwenda chalinze na kurudi ni lita 15 kwa kuwa ninamradi wa kuku wa kienyeji huwa nawafata chalinze kila j5 pale sokoni
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Jul 29, 2013 #5 fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... tehe tehe tehe tehe tehe tehe naendelea kucheka. kwi kwi kwi kwi kwi kwi ntaendelea tena baadae
fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... tehe tehe tehe tehe tehe tehe naendelea kucheka. kwi kwi kwi kwi kwi kwi ntaendelea tena baadae
General8 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 996 Reaction score 862 Jul 29, 2013 #6 Honestly, hii gari iko so fuel economical consumption, naijua
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Jul 29, 2013 #7 Hilo ni NGIVI........
Sizinga Platinum Member Joined Oct 30, 2007 Posts 9,519 Reaction score 7,287 Jul 29, 2013 #8 mwanangu mi mil4 net.,
fabinyo JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 3,042 Reaction score 2,235 Jul 29, 2013 #9 hekimatele said: tehe tehe tehe tehe tehe tehe naendelea kucheka. kwi kwi kwi kwi kwi kwi ntaendelea tena baadae Click to expand... duh,vip tena njomba?
hekimatele said: tehe tehe tehe tehe tehe tehe naendelea kucheka. kwi kwi kwi kwi kwi kwi ntaendelea tena baadae Click to expand... duh,vip tena njomba?
Loy MX JF-Expert Member Joined Mar 26, 2012 Posts 1,253 Reaction score 313 Jul 29, 2013 #10 mama kokuu said: toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​ Click to expand... mmeiwekea engine ya BODABODA nini??
mama kokuu said: toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​ Click to expand... mmeiwekea engine ya BODABODA nini??
M.E.M.A JF-Expert Member Joined Jul 27, 2013 Posts 1,373 Reaction score 472 Jul 29, 2013 #11 fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... Ya mwaka gani hii? Odometer?
fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... Ya mwaka gani hii? Odometer?
C Chief Platinum Member Joined Jun 5, 2006 Posts 3,958 Reaction score 3,704 Jul 30, 2013 #12 fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... Hii itakuwa 2,446 c.c turbo diesel engine
fabinyo said: napata mashaka sana kwenye hizo red,acha uongo wewe mama wa kihaya!weka details nyingine kama cc,mwaka,kms... Click to expand... Hii itakuwa 2,446 c.c turbo diesel engine
M.E.M.A JF-Expert Member Joined Jul 27, 2013 Posts 1,373 Reaction score 472 Jul 30, 2013 #13 Kuna mtu aliwahi kufanya mawasiliano kwa hizo namba hapo?