Natanguliza salam nyote humu,kuna hii gari starlet carat nimeiona mahali jamaa kai pimp utasema bmw ilivyokaa hapo mbele,nimevutiwa sana nayo,mwenye uzoefu nazo vipi zinakuaga na tatizo lolote, je ni gari nzuri? Na imara?
Natanguliza salam nyote humu,kuna hii gari starlet carat nimeiona mahali jamaa kai pimp utasema bmw ilivyokaa hapo mbele,nimevutiwa sana nayo,mwenye uzoefu nazo vipi zinakuaga na tatizo lolote, je ni gari nzuri? Na imara?
Mkuu kama wewe ni mtunzaji basi mpaka wajukuu wataitumia, spea bwerere huulizi maduka mawili, spare bei chini, mafundi wake wapo na hata wewe waweza kuwa fundi, mafuta glass moja unafika Tanga,
Mkuu kama wewe ni mtunzaji basi mpaka wajukuu wataitumia, spea bwerere huulizi maduka mawili, spare bei chini, mafundi wake wapo na hata wewe waweza kuwa fundi, mafuta glass moja unafika Tanga,