Unbelievable
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 262
- 115
Toyota Rav 4 inauzwa Milioni 14 mwisho 13.
Duh!!!,Sisi akina Karubandika tutaishia kusoma bei za magari.loh!,hali imebana sana.
Kama nasikia maumivu yakoDuh!!!,Sisi akina Karubandika tutaishia kusoma bei za magari.loh!,hali imebana sana.
Kuna Jamaa yangu anayo anaiuza kama biashara ni ya serious nitafute ni pm # yako tuonge zaidiNatafuta Tipa Fuso
we jamaa mbaya ujue. acha basi kunisema, ni kama ulikuwa kwenye mfumo wangu wa fahamu. chombo cha usafiri ninachomiliki kwa sasa ni baskeli ya 85,000/= japo thread za magari bado natupia neno. miaka ya nyuma nilikuwa mkiwa sana. niliamini kila member wa JF anamiliki gari tena si ya bei kidogo, nilijua kila member ameshapanda ndege, kila member anamiliki nyumba tena za roshani kadhaa. maana nilitokea kupenda jukwaa la biashara, gereji, matangazo. mbwembwe za kupamba na kukosoa ubora, bei looh! kumbe siri ilikuwa ndani ya nafsi ya kila mchangia hoja.Duh!!!,Sisi akina Karubandika tutaishia kusoma bei za magari.loh!,hali imebana sana.
Nimekusoma mkuu.Siyo lazima kila mtu awe na gari Mkuu. Ndo maana Jamhuri yetu tukufu inaboresha miundo mbinu kama mwendokasi nk. wanajua kabisa wapo wengi ambao magari hawawezi kuyamudu.
Yaani we acha tu!!,Kijiwe kigumu.Kama nasikia maumivu yako
Yaani mimi nilipanga mipango yangu mpaka mwaka huu mwishoni ningekuwa na kagari ila anayenikwamisha namjua, simpendi.Mimi sio mpiga dili ila kazini kanyongeza hakuna na kwenye biashara hali ngumu mno.Mchawi wangu wa maendeleo namjua,Duh!!!,Sisi akina Karubandika tutaishia kusoma bei za magari.loh!,hali imebana sana.
Mkuu!!,km ulikuwa na fikra hizo aise sahau,Kuna watu humu hali ni ngumu km yangu lkn utakuta eti wana bargain bei ya gari la bei kubwa tu.Jamani laiti km Ma member tungekuwa tunatembeleana basi kuna watu wangeshangaza wengi.we jamaa mbaya ujue. acha basi kunisema, ni kama ulikuwa kwenye mfumo wangu wa fahamu. chombo cha usafiri ninachomiliki kwa sasa ni baskeli ya 85,000/= japo thread za magari bado natupia neno. miaka ya nyuma nilikuwa mkiwa sana. niliamini kila member wa JF anamiliki gari tena si ya bei kidogo, nilijua kila member ameshapanda ndege, kila member anamiliki nyumba tena za roshani kadhaa. maana nilitokea kupenda jukwaa la biashara, gereji, matangazo. mbwembwe za kupamba na kukosoa ubora, bei looh! kumbe siri ilikuwa ndani ya nafsi ya kila mchangia hoja.
Dah hata mm nlitaka kununua kagari ila kuna mtu anapenda kaniona chini yake muda wote... Kila siku anadai vyeti vyangu akimaliza kukagua anamtuma mtu tena daaahYaani mimi nilipanga mipango yangu mpaka mwaka huu mwishoni ningekuwa na kagari ila anayenikwamisha namjua, simpendi.Mimi sio mpiga dili ila kazini kanyongeza hakuna na kwenye biashara hali ngumu mno.Mchawi wangu wa maendeleo namjua,
Kila kwenye kikao anajisifia kaniweza
yaani kumbe wengine wanashindana bei kumbe mfukoni pakavu.Umenifungua ufahamu zaidi,kumbe kuna wa hali ngumu zaidi yanguMkuu!!,km ulikuwa na fikra hizo aise sahau,Kuna watu humu hali ni ngumu km yangu lkn utakuta eti wana bargain bei ya gari la bei kubwa tu.Jamani laiti km Ma member tungekuwa tunatembeleana basi kuna watu wangeshangaza wengi.
Yaani anazingua,kalaana kanamnyemelea,anasumbua watu,na haki zao anabana kisa eti kapewa ukiranja.Kasahau ukaka mkuu una mda wakeDah hata mm nlitaka kununua kagari ila kuna mtu anapenda kaniona chini yake muda wote... Kila siku anadai vyeti vyangu akimaliza kukagua anamtuma mtu tena daaah