Toyota Rav 4 inauzwa.

Toyota Rav 4 inauzwa.

Dah hata mm nlitaka kununua kagari ila kuna mtu anapenda kaniona chini yake muda wote... Kila siku anadai vyeti vyangu akimaliza kukagua anamtuma mtu tena daaah
Mimi kununua gari ni 2020 baada ya chadema kukamata usukani ,,,,,!
 
Yaani anazingua,kalaana kanamnyemelea,anasumbua watu,na haki zao anabana kisa eti kapewa ukiranja.Kasahau ukaka mkuu una mda wake
Acha tu... Game likiendelea hivi kuna siku tutaingiana maungoni alegeze uzi
 
Yaani anazingua,kalaana kanamnyemelea,anasumbua watu,na haki zao anabana kisa eti kapewa ukiranja.Kasahau ukaka mkuu una mda wake
Huku hali ngumu yaani ngumu tena,dirisha moja limenishinda kumalizia mpaka nimehamia hivyo hivyo leo unaleta Thred ya kuuza gari humu. Daadeki
 
Huku hali ngumu yaani ngumu tena,dirisha moja limenishinda kumalizia mpaka nimehamia hivyo hivyo leo unaleta Thred ya kuuza gari humu. Daadeki
duuuh yaani angeona uchungu wetu asingethubutu kujisifu kuwa mara kaokoa bl.ngapi, mara kaokoa bl.ngapi,mara ananyoosha nchi, imepinda kuelekea upande gani hasemi.
 
Yaani mimi nilipanga mipango yangu mpaka mwaka huu mwishoni ningekuwa na kagari ila anayenikwamisha namjua, simpendi.Mimi sio mpiga dili ila kazini kanyongeza hakuna na kwenye biashara hali ngumu mno.Mchawi wangu wa maendeleo namjua,
Kila kwenye kikao anajisifia kaniweza
HAHAHAAAAAAAAA.... UMEANDIKA VIZURI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom