kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Wadau,
Hivi gharama za kuagiza Probox kutoka Japan kuja Tanzania inaweza kugharimu bei gani, transport fee and custom, mpaka gari linakabidhiwa mikononi mwako unatakiwa kuwa na pesa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi gharama za kuagiza Probox kutoka Japan kuja Tanzania inaweza kugharimu bei gani, transport fee and custom, mpaka gari linakabidhiwa mikononi mwako unatakiwa kuwa na pesa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app