Naihitaji lakini siyo kwa hiyo bei- m5, mimi nitakupa m1.5. Kama unaafiki ni Pm kesho tumalize biashara.Ni Automatic Transmission, Mileage ni 130,000km na imelipiwa kodi na leseni hadi May. Nataka kwenda kusoma ndio maana naiuza. Ipo Dsm, kwa anayehitaji ani-pm.
nilichojifunza mimi katika biashara za kuuza magari na nyumba au dili zingine, ni hivi " usiangalia ulichopoteza, angalia unachokipata sasa, gari nzuri, kama una nia ya kutafuta adaya masomo kupia mauzo hayo nakushauri usikatae ofa za mwanzoni utakazokutana nazo, kinyume na hapo watu watazidi kukutajia bei ndogo kwni wauzaji magari wameuwa wengi kuliko wahitji hayo magari, pia kwa hela hiyo kaka ni ghali kidogo.
Offer ya MWANZO kapewa 1.3, achukue?
1.3 ndogo sana kaka, kama kweli mtu mnunuzi angalau 2.5 hadi 3.5 itakuwa fair. afanye ubinadamu kidogo.Offer ya MWANZO kapewa 1.3, achukue?
kama ni 4 cylinder na engine ni 4s nitafute nikupe 4m. Ni pm namba yako ya simu.Ni Automatic Transmission, Mileage ni 130,000km na imelipiwa kodi na leseni hadi May. Nataka kwenda kusoma ndio maana naiuza. Ipo Dsm, kwa anayehitaji ani-pm.
Siku hizi naona watu wengi wakitaka kununua gari used hapa Tanzania wanaangalia zaidi number ni za mwaka gani na kupanga bei on the basis ya hizo namba badala ya kuangalia quality ya gari. Kwa utafiti wangu mdogo kuna magari ya namba za zamani kama hiza huyu bwana lakini unakuta gari imetunzwa vizuri na ila quality nzuri kuliko hata yenye numba za karibuni. Ushauri wangu ni kwamba unapotaka kununua gari usiangalie namba angalia quality ya gari lenyewe..