Bila Shaka utakua unaendesha V8(300 series).Ya kizamani sana hii, bei gani?
Nitakutatufa baadae nikituliaNamba yangu ipo hapo juu ya tangazo .
Humo kulikuwa hamna gari bila shaka, huwezi pata VX Limited ilionyooka kwa bei ya mandazi kiasi hicho lazma gari itakuwa na ubovu flani ambao haukuwekwa wazi!Kuna moja pale riverside mtu alitoa 15 na dalai akala 2 humo muuundo huo hup
Hapana haliwezi kuwa bovu ndo Bei yake ila tatizo ni mashine kubwa lazima itakuwa na injini 2UZJ V8 with 4700cc ya petrol na hapo kwenye matumizi ya mafuta ndo kwenye kipengele ila 100 series ni ngumu sana naweza thubutu kusema ni zaidi ya 200 series Kwa ugumuHumo kulikuwa hamna gari bila shaka, huwezi pata VX Limited ilionyooka kwa bei ya mandazi kiasi hicho lazma gari itakuwa na ubovu flani ambao haukuwekwa wazi!
Hio pichani ni 1HD-FTE ni mashine ya kazi sema tu tatizo ni automatic gearbox! Watu hawazipendelei sanaHapana haliwezi kuwa bovu ndo Bei yake ila tatizo ni mashine kubwa lazima itakuwa na injini 2UZJ V8 with 4700cc ya petrol na hapo kwenye matumizi ya mafuta ndo kwenye kipengele ila 100 series ni ngumu sana naweza thubutu kusema ni zaidi ya 200 series Kwa ugumu
Sent from my SH-04H using JamiiForums mobile app
Mzee mm napenda sana injini za petrolHio pichani ni 1HD-FTE ni mashine ya kazi sema tu tatizo ni automatic gearbox! Watu hawazipendelei sana
Hahahahah kwa gari ya kazi hainogi sana Petrol labda iwe kwenye Prado!