Toyota ist mbichi inauzwa

Toyota ist mbichi inauzwa

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
95,860
Reaction score
136,758
MILIAGE 89000
Cc 1290
BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO
GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA
KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..

IMG-20161101-WA0031.jpg
IMG-20161101-WA0032.jpg
IMG-20161101-WA0033.jpg
IMG-20161101-WA0034.jpg
IMG-20161101-WA0035.jpg
IMG-20161101-WA0036.jpg
IMG-20161101-WA0038.jpg
 
Chukua 4.5 mkuu...yaani usiku huu huu nakuja kuchukua.
 
Weka details zingine za msingi tuone kama hiyo bei ina mashiko tuzungumze!. Kama ni zile za kawaida zilizozoeleka basi mm "SIZITAKI MBICHI HIZI!!!!!!"
 
MILIAGE 89000
Cc 1290
BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO
GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA
KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..

View attachment 427798 View attachment 427799 View attachment 427800 View attachment 427801 View attachment 427802 View attachment 427803 View attachment 427804
Nikiona hiz gar kichwa kinauma nakunbuka brek ilifail nikaigonga dahh yangu premio ilivunjika taa tu hii gar ikawa nyang'a nyang'a ...niliapa hata bure staki ...nisamehe kwa kuja huku ila nataman hizi nailon hata zisitishwe kuja bongo hasa "mbich" kama hzo walau basi wasitengenezee mabat ....
 
Nikiona hiz gar kichwa kinauma nakunbuka brek ilifail nikaigonga dahh yangu premio ilivunjika taa tu hii gar ikawa nyang'a nyang'a ...niliapa hata bure staki ...nisamehe kwa kuja huku ila nataman hizi nailon hata zisitishwe kuja bongo hasa "mbich" kama hzo walau basi wasitengenezee mabat ....
Umeongea ukwel braza...yaan hz gari Sijui ist,premio,alteza,vitz,brevis..nk..ni lain kama rizla...tatizo wabongo wengi tumekariri magari .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom