.Nahitaji toyota isis mwaka 2006 kwa 8m
Check me +255714478797
Kama ni ISIS muuliza Faiza
.
Nani alikwambia ist ya 2006 utaipata kwa bei hyo..utasubili sana mkuuu!!
.
Nani alikwambia ist ya 2006 utaipata kwa bei hyo..utasubili sana mkuuu!!
Da huo mgar mbaya sana umeupendea nn labda
Aisee........
.
Nani alikwambia ist ya 2006 utaipata kwa bei hyo..utasubili sana mkuuu!!
HahahahaahahahaaaahaaaKwa Tanzania tabu sana kupata.Nakusuhauri nenda Libya,Israel,Iraq,Palestina na ukanda wote wa kiarabu
Ayayaa gechie mbona unaniambia ukweli.mbele za watu aisee?dah so vizuriUnaishi Kibaha nini unataka uwe unashare gharama za mafuta na abiria wajao town na kutoka jijini jioni,maana ndio zao wakazi Wa kiluvya,Kibaha kununua magari kama mabasi wanawaza mbali....