Kama kuna mtu yeyote anayemiliki gari niliyotaja hapo juu iliyo kwenye hali nzuri na anafikiria kuiuza naomba anijulishe.
Angalizo: Bei isizidi Tshs 11,000,000/=
Kama kuna mtu yeyote anayemiliki gari niliyotaja hapo juu iliyo kwenye hali nzuri na anafikiria kuiuza naomba anijulishe.
Angalizo: Bei isizidi Tshs 11,000,000/=
Hiace ya bei hiyo haiwezi Kuwa ktk Hali nzuri...Inategemea Kama ni manual au auto,petrol au disel nk...lakini kwa 10ml hiace dungu ni ngumu kuipata labda ya Mwaka 1995