Toyota cresta gx100

Toyota cresta gx100

Konzogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
434
Reaction score
164
Nawasalimu. Kisha naomba mnisaidie kujua garama za kuimport used cresta gx100 hadi dar ni kias gan
 
Nawasalimu. Kisha naomba mnisaidie kujua garama za kuimport used cresta gx100 hadi dar ni kias gan

Around 8M mpaka barabarani, kama una 8.5 nikuletee hii hapa
gx100.jpg

Sijui kwa nini unataka gx100, resale value yake iko chini sana kwa sasa, pamoja na kwamba unanunua ya kutumia lakini itafika muda utahitaji kuliuza itabidi uuze bei chini sana, mtaani znapatkana 7-5M hata 4M kulingana na hali ya gari. Mimi ningekushauri uchukue altezza, ina nguvu, imara na resale value yake iko juu, unaweza kuagza kwa around 9.5 kwenda juu kulingana na hali ya gari. Kama utahtaji sema tufanye mambo.
 
mkubwa hujajua bajeti yake kama imeishia hapo je? kipendacho roho

Around 8M mpaka barabarani, kama una 8.5 nikuletee hii hapa
View attachment 115050

Sijui kwa nini unataka gx100, resale value yake iko chini sana kwa sasa, pamoja na kwamba unanunua ya kutumia lakini itafika muda utahitaji kuliuza itabidi uuze bei chini sana, mtaani znapatkana 7-5M hata 4M kulingana na hali ya gari. Mimi ningekushauri uchukue altezza, ina nguvu, imara na resale value yake iko juu, unaweza kuagza kwa around 9.5 kwenda juu kulingana na hali ya gari. Kama utahtaji sema tufanye mambo.
 
Nawasalimu. Kisha naomba mnisaidie kujua garama za kuimport used cresta gx100 hadi dar ni kias gan


kwa nini usiopt for BMW 3 series ya 2002 iko makini sana 2000cc mwendo mdundo comfortability ya kulala?
Gari makini sana na spare zipo za kumimina Kariakoo
 
Nina 5m, ninasikilizwa mkuu?

Ahsante bro, ninathamini ulichonacho, sema tu hakijakidhi thamani ya Cresta Exceed GX100 vvti 2.5 a.k.a Injection engine.Haijawahi kwenda garage yoyote zaidi ya TOYOTA wenyewe, na haijawahi vuka mda wa service
 
Back
Top Bottom