Ulaji wa mafuta ukoje?Kama uko Dar. tuwasiliane kwa namba tajwa hapo juu ili uikague gari na kuithaminisha. Inaweza kupungua kutoka kwenye M4 lakini sio kihivyo.
Ulaji wa mafuta ukoje?
aaaah mkuu!shemeji mchukulie kitu new from japan!siku hizi wanapenda istchukua 2.0m mkuu,nimchukulie shemeji ako
Make: Toyota Corona (England)
Year: 1996
CC: 1800
KM: 160000
Air condition
Bei: Shilingi milioni 4 za kitanzania. (4,000,000/- Tshs)
Gari ipo katika hali nzuri, miaka yote ilikuwa inatumawa na Mama kwenda na kurudi kazini; ipo Dar es Salaam.
Kwa anaetaka kuiona, kuitest, au kufanya biashara; call - 0754615630. Anaiuza kwa sababu amenunua gari nyingine mpya.View attachment 96698View attachment 96699View attachment 96700View attachment 96701View attachment 96703View attachment 96704
aaaah mkuu!shemeji mchukulie kitu new from japan!siku hizi wanapenda ist
Call 0754615630 kwa mazungumzo. Huenda ukabahatika iwapo bibie atakuwa ameamka vema jumapili ya leo.
Bro anaongea na Mother, nitaku PM akinipa jibu.
Ulaji wa mafuta sijauzingatia sana, maana matumizi yake ni hapa hapa town tu, haijasafiri kwenda mbali; na mara nyingi huwa anajaziliza kila yanapopungua. Ila kwa makadirio kutokana na cc zake nadhani ni kati ya kilomita 10 hadi 14 kwa lita.