TOYOTA CARINA Ti 1490cc, ya mwaka 2000 nyingine ya mwaka 1999 (1490cc), Rangi Nyeupe, zimelipiwa ROAD LICENCE & BIMA zinauzwa zipo Dar es Salaam ukihitaji kuziona tafadhali wasiliana nami kwa 0769096861. Bei ni 6.5 millioni (Tsh.) Asante
25th May 2013 22:15Kaka mbona simu inaita tu hupokei? Nipigie namba yangu ni voda inaishia na 98. Joshua. Serious nataka kuiona hiyo gari
25th May 2013 22:15
Mkuu nahitaji hiyo gari kwa hiyo 6.5m maana nimejaribu kuiangalia japan mpaka ifike hapa na hizi kodi na uchakavu inafika 10.7m. Tukutane tufanye biashara ndugu