Nakubaliana nawewe 100%Wanasema runx ni brand name inayosound zaidi Asia lakini allex ina sound zaidi ulaya na sehemu nyingine kama Africa. Hakuna tofauti zaidi ya majina ya kimkakati wa soko
Gari yoyote ndogo inapopishana na gari kubwa kwenye mwendo mkubwa lzm upunguze speed,,cc1490 ulaji mafuta ni 12-14km/lt inafaa sana kwa mijini kwenye foleni kubwa hazifai kwa safari ndefu ukipishana na bus ama lori liko kasi lazima uhame barabara usimame uanze upya
Uongo, mi nimesafiri na Allex kutoka Dar to Bk bila tabucc1490 ulaji mafuta ni 12-14km/lt inafaa sana kwa mijini kwenye foleni kubwa hazifai kwa safari ndefu ukipishana na bus ama lori liko kasi lazima uhame barabara usimame uanze upya
Au Cami na TeriosKwangu mimi naona ni kama daihatsu boon na toyota passo...same car different name....au toyota yaris and vits or clavia
Terios kidAu Cami na Terios
Achana kid kile kimekaa km mtoto wa kondoo!ile kubwa yake sasaTerios kid
Iweke hapa mkuu tuioneAchana kid kile kimekaa km mtoto wa kondoo!ile kubwa yake sasa
We google tu daihatsu terios utaiona!!Iweke hapa mkuu tuione
We google tu daihatsu terios utaiona!!
Au kama Toyota Wish na ISISAu Cami na Terios