Toxic Bachelors!

Toxic Bachelors!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Nimeskia sana kuhusu hawa bachelor sugu mtaani wanajulikana kama toxic bachelor
Aged 41-47, wengi wanakuwa wameamua kiwa single but not committed wao wanapenda bubaaa tuu na kukupa empty promise ulainike ujue kweli!

Plus wanapenda sana kuwapiga Single women, single mothers ....and Desperate ones!

Rafkiangu alikutana na bachelor m1, kwenye mataa ya kutoka posta wakiwa kwenye foleni, wakasalimiana wakavuka mataa wakafika ya redcross wakasimama tena waka exchange contacts!

Wakadate 2 - 3 times lakini mwanaume alikiwa na zile mambo za we weee wee!
We will gooo... we will do this... we will do thaaat... weee wee weee!
Sitaki kuku hit and run .. ninataka fyucha na wewe ... nakupenda kikweliii .. bachelor sasa anaongeaa

Hakujua rafkiangu mwenyewe mwendo kasi kama money penny
Siku wamepanga kukutana for match, rafkiangu akavaa pedi feki, jamaa akakagua akaikutaaa, akamvumilia siku 7 kadanganywa anaenda mp!

Baada ya siku 7 rafkiangu akamwambia ubajua me bikra, sijui kabisa mechi! Toxic bachelor kakomaa ntaku teach, rafkiangu akamwambia sawa nina hizi HIV medical test nataka tupime kabla hatuja duuu!

Kwani alitokea sasa huyu Toxic Bachelor?! Anaanzaje sasa hata simu hapigi tena wala sms hatumiii... ndo ivyo ikawa mwishoo wa toxic bachelor ku exist kwenye maisha ya rafkiangu! Very Stuuupeeeed Men!

Alafu sio peke yake, wengine walishadanganywa mpaka wakazalishwa watoto 2, 3, hamna cha ndoa wala sherehe
Nuna marafiki wameshapata hata na ukimwi wamerudi kijijini kulimaaaa!

Najua times are hard now in Tz, na naelewa sana, single women loves to hear a word WE! Ila ndo muwe carefull maana naskia toxic bachelor wamemwagwa Dar sasa hivi wapo kibaoo! Kwenye ma night clubs na big hotels!

Have you met those guys?! Je ushawahi kukutana na hao Toxic Bachelor maishan mwako?!
Tupe Dvd kwako ilikuwaje!

Ps:
Toxic bachelors ni zaidi ya YAHAYA Ooo!

 
Nimeskia sana kuhusu hawa bachelor sugu mtaani wanajulikana kama toxic bachelor
Aged 41-47, wengi wanakuwa wameamua kiwa single but not committed wao wanapenda bubaaa tuu na kukupa empty promise ulainike ujue kweli!

Plus wanapenda sana kuwapiga Single women, single mothers ....and Desperate ones!

Rafkiangu alikutana na bachelor m1, kwenye mataa ya kutoka posta wakiwa kwenye foleni, wakasalimiana wakavuka mataa wakafika ya redcross wakasimama tena waka exchange contacts!

Wakadate 2 - 3 times lakini mwanaume alikiwa na zile mambo za we weee wee!
We will gooo... we will do this... we will do thaaat... weee wee weee!
Sitaki kuku hit and run .. ninataka fyucha na wewe ... nakupenda kikweliii .. bachelor sasa anaongeaa

Hakujua rafkiangu mwenyewe mwendo kasi kama money penny
Siku wamepanga kukutana for match, rafkiangu akavaa pedi feki, jamaa akakagua akaikutaaa, akamvumilia siku 7 kadanganywa anaenda mp!

Baada ya siku 7 rafkiangu akamwambia ubajua me bikra, sijui kabisa mechi! Toxic bachelor kakomaa ntaku teach, rafkiangu akamwambia sawa nina hizi HIV medical test nataka tupime kabla hatuja duuu!

Kwani alitokea sasa huyu Toxic Bachelor?! Anaanzaje sasa hata simu hapigi tena wala sms hatumiii... ndo ivyo ikawa mwishoo wa toxic bachelor ku exist kwenye maisha ya rafkiangu! Very Stuuupeeeed Men!

Alafu sio peke yake, wengine walishadanganywa mpaka wakazalishwa watoto 2, 3, hamna cha ndoa wala sherehe
Nuna marafiki wameshapata hata na ukimwi wamerudi kijijini kulimaaaa!

Najua times are hard now in Tz, na naelewa sana, single women loves to hear a word WE! Ila ndo muwe carefull maana naskia toxic bachelor wamemwagwa Dar sasa hivi wapo kibaoo! Kwenye ma night clubs na big hotels!

Have you met those guys?! Je ushawahi kukutana na hao Toxic Bachelor maishan mwako?!
Tupe Dvd kwako ilikuwaje!


What about toxic spen(c/s)ers?... Mcjitetee
 
Tatizo ni pale kila kijana anapodhani parenting and/or / marriage is everyone cup of tea.........

Fikra potofu ni mbaya sana... this will once be a myth of our generation.....

Hakuna kitu sawa au si sawa... ni mtazamo tu.....

Ukiangalia jamii inayotuzunguka pia imejaa wanazi wa ndoa na watoto nk...... narudia tena si lazima tuish kutokana na norms za jamii yetu......

Part of societal changes... deal with it.
 
Utaumia sana kwa hali ya vijana wengi kutokutaka kuoa.Sababu zipo sehemu mbili kwa Ke na Me.Ukiangalia wimbi la vijana kuoa linapungua kutoka day to day,hii ina maana huko mbele kutakuwa na idadi ndogo sana ya waoaji.Da! inasikitisha sana hasa nyie wa mjini hali n mbaya afadhal vijijin aisee.
Alafu mtoa uzi inabid ujue kuoa c jambo la kitoto na c uamuz wa haraka.Huyo rafik yako na wadada wengi wanataka kuolewa wakat mahusiano ndo kwanza yana siku 3 hahahaha!
Mim nimeshaoa na sasa nina miaka 5 kwenye ndoa na nilitumia 3 years kumchunguza mama watoto wangu before marriage. Over
 
Yaani you expect jamaa kuwife up like that...rafiki atasubiri sana lazima ianze hivyo then chemistry ikikubali mengine yafuate. Najua kwa women chemistry ni zaidi ya anatomy...lakini sio bila hata game ya kirafiki kwa zama hizi.
 
Natakakujua kwa dhatikabisa.

Wanawake wasioisha kuwaza kuolewa hawawezi kuendesha maisha yao bila kuolewa au wanajibweteza tu?

Halafu, wanaodai usawa na wanaume ni hawa hawa au hao ni wengine tofauti?
 
Tatizo ni pale kila kijana anapodhani parenting and/or / marriage is everyone cup of tea.........

Fikra potofu ni mbaya sana... this will once be a myth of our generation.....

Hakuna kitu sawa au si sawa... ni mtazamo tu.....

Ukiangalia jamii inayotuzunguka pia imejaa wanazi wa ndoa na watoto nk...... narudia tena si lazima tuish kutokana na norms za jamii yetu......

Part of societal changes... deal with it.
Sasa kama wewe unataka usioe haimaanishi mwenzio hataki kuoa au kuolewa lakini msitufanye nguzo za Tanzania na kutuharibu kisa hautaki kitu flan
Kama wewe umeshafikiria outsidw the box ukajiwekea maisha yako ndo hayo ni wewe tu baaab sio kila mtu

Jamii ya ki tz tumelelewa kuwa ukimaliza shule ukapata kazi ni kuoa na kuijaza dunia sa kama unataka kuwa toxic kimpango wako usiharibu jamii kwa toxications zako bruh!

U know what am saying
Boy bye!
 
Utaumia sana kwa hali ya vijana wengi kutokutaka kuoa.Sababu zipo sehemu mbili kwa Ke na Me.Ukiangalia wimbi la vijana kuoa linapungua kutoka day to day,hii ina maana huko mbele kutakuwa na idadi ndogo sana ya waoaji.Da! inasikitisha sana hasa nyie wa mjini hali n mbaya afadhal vijijin aisee.
Alafu mtoa uzi inabid ujue kuoa c jambo la kitoto na c uamuz wa haraka.Huyo rafik yako na wadada wengi wanataka kuolewa wakat mahusiano ndo kwanza yana siku 3 hahahaha!
Mim nimeshaoa na sasa nina miaka 5 kwenye ndoa na nilitumia 3 years kumchunguza mama watoto wangu before marriage. Over
Bro! Me sijasema anataka kuolewa baada ya siku 3 ... lakini tufahamiane angalau mwezi ndo uombe Maku!

Sa we siku ya 3 sijui ya 1 sijui ya 2 unataka mecho nenda UEFA basi
 
Yaani you expect jamaa kuwife up like that...rafiki atasubiri sana lazima ianze hivyo then chemistry ikikubali mengine yafuate. Najua kwa women chemistry ni zaidi ya anatomy...lakini sio bila hata game ya kirafiki kwa zama hizi.
So na wewe ni toxic bachelor unaetaka mechi siku ya 2 baada ya kuonana?!
Kweli we ni toxic baab
 
Bro! Me sijasema anataka kuolewa baada ya siku 3 ... lakini tufahamiane angalau mwezi ndo uombe Maku!

Sa we siku ya 3 sijui ya 1 sijui ya 2 unataka mecho nenda UEFA basi
leo nipo hapa ofsini kwetu it plaza kuna live band so ?
 
Back
Top Bottom