Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,915
Wana Jf tatizo la websites za taasisi zetu mie naona kama vile tatizo ila inawezekana ni mtizamo wangu tu.
Ila ukiingia website ya SIDO Tanzania ili kuona Products walizonazo huwezi kupata moja kwa moja.
Badala yake unakuta Links za makampuni mengi ya India na haipo wazi sana.
Sasa kwa sie tulipo mjini inakuwa rahisi kuenda pale na kuulizia licha ya kwamba pia ni usumbufu,ila kwa wale waliopo nje ya mji inakuwa tabu sana kupata maelezo sahihi au kuona bidhaa inayoihitaji.Ambapo website ingewasadia sana.
Maana seheme ya kufungua ili upate hizo bidhaa unakuta kwamba ni Makampuni yaliyopo nje na wao inamaana kuwa kama madalali vile wakati najua kwamba wanazalisha.
Sasa hapa kuna kitu gani,na ukienda Sabasaba unawakuta na bidhaa ila kwenye website yao kweupee.
Sasa je hii ni taasisi ya wawekezaji wa nje ya nchi au Tanzania?na kwanini website haina kitu yaani products display
Hembu wakuu tusaidiane juu ya hili,kwa kuangala kwa kina hii website yao Welcome to SIDO
Ila ukiingia website ya SIDO Tanzania ili kuona Products walizonazo huwezi kupata moja kwa moja.
Badala yake unakuta Links za makampuni mengi ya India na haipo wazi sana.
Sasa kwa sie tulipo mjini inakuwa rahisi kuenda pale na kuulizia licha ya kwamba pia ni usumbufu,ila kwa wale waliopo nje ya mji inakuwa tabu sana kupata maelezo sahihi au kuona bidhaa inayoihitaji.Ambapo website ingewasadia sana.
Maana seheme ya kufungua ili upate hizo bidhaa unakuta kwamba ni Makampuni yaliyopo nje na wao inamaana kuwa kama madalali vile wakati najua kwamba wanazalisha.
Sasa hapa kuna kitu gani,na ukienda Sabasaba unawakuta na bidhaa ila kwenye website yao kweupee.
Sasa je hii ni taasisi ya wawekezaji wa nje ya nchi au Tanzania?na kwanini website haina kitu yaani products display
Hembu wakuu tusaidiane juu ya hili,kwa kuangala kwa kina hii website yao Welcome to SIDO