Tovuti ya mambo ya Afya

Kilongwe

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
423
115
wadau,Timu nzima ya AfroIT kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Afya,tupo mbioni kukamiliusha hatua ya kwanza ya tovuti ya afya.Tovuti ambayo itakuwa inakuletea mambo mablimbali yanayohusu afya.

Hivyo,kwa sasa bado tunahitaji maoni yako katika kufanikisha hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…