Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Inauma lakini hakuna namna tuwe wapole.Sasa tunafanyaje mkuu, maana kinachofanyika ni ubabe na wao ndo kila kitu wanaouwezo wowote tu wakiamua.
Inauma lakini hakuna namna tuwe wapole.Sasa tunafanyaje mkuu, maana kinachofanyika ni ubabe na wao ndo kila kitu wanaouwezo wowote tu wakiamua.
Kwa kuendelea kukosoa hakuna cha kupoteza, tofauti na kukaa athari zake zitakuwa hasi zaidi.Sasa tunafanyaje mkuu, maana kinachofanyika ni ubabe na wao ndo kila kitu wanaouwezo wowote tu wakiamua.
Tanzania imeanza kukatisha tamaa
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
Tatizo la wataalamu wetu ni kukubali kupokea maagizo yatokayo juu hata kama aliyetoa hana taaluma ya suala husika. Ona sasa wamekwama kwenye tope.
Hapa ndiyo uwa namwelewa Mange ni kwa nini wakati mwangine anaamua kutukana na Matusi na kuingilia hadi issue za familia yake. Alijisemea @NyaniNgabu asitutishe kwanza sisi ndiyo tumemuajiri kututumikia
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
Ni siri tosha mungu aliyoiweka kwa binadamu kutoiona kesho yake....Mulimtukana kikwete kwa kila aina la tusi
Kwa hiyo na facebook je?nyie wachawiMulimtukana kikwete kwa kila aina la tusi
Nashindwa kupata jibu au picha halisi ya tatizo lililopo, ina maana mwanzo hii forum ilisajiliwa Tz ila kipindi hiki tu ndio inaonekana haikusajiliwa Hapa, je vipi kuhusu IPPMEDIA.COM, MILLADAYO.COM, na nyingine nyingi zenye .com na sio .co.tz ina maana nazo sio za hapa Tz.
Pili ina maana kampuni hii haikusajiliwa na brela au ndio siasa za kutufumba na kumbambikizia kesi maxence melo.
Lakini ALWAYS THE END JUSTIFY THE MEANS, na siku zote muda ni hakimu wa haki.....hakika 2020 itafika....bora nife kesho ila uhuru uwepo, ni nini maana halisi ya democracy ikiwa watu haturuhusiwi kufatilia au kukosoa serikali yetu.
Tapatalk Cloud - Downlaoad File tapatalk_1481918002106.jpeg
Tovuti ni mkusanyiko wa kurasa zilizoandikwa kwa lugha mbalimbali za tarakilishi kama vile HTML, PHP, XHTML na kadhalika na ambazo kwa pamoja hujumuika katika kutoa habari au maelezo kuhusu jambo fulani. Lugha hizi, yaani HTML, PHP, XHTML na kadhalika zinaweza tu kusomwa na kutafsiriwa na programu kama vile Internet Explorer Google Chrome na Mozilla Firefox kwa lugha ambayo inaweza kueleweka na binadamu. Wingi wake ni "tovuti" vile vile. Tovuti zote pamoja zinaitwa "mtandao" au "Intaneti" au "wavuti".Hivi Jf ni tovuti?