Maeneo yenye udhaifu kikosi cha Spurs
Kiungo cha ukabaji. Idara hii ili ikamilike yaani iwe na balance, huitaji viungo wakabaji wa aina mbili kwa ratio ya 2:1;
Kwanza, Creative/More Offensive DM. Hapa nazungumzia wachezaji kama Kroos, Modric, Pogba, Rakitic, KDB, Fred, nk. Sisi tayari tunao Ndombele, Fernandes, Sissoko na Winks. Hawa huwa na majukumu ya kutoa/kupokea mipira kwenye eneo la ulinzi na kuhakikisha inawafikia washambuliaji. Ukiacha inconsistency ya Ndombele nadhani tuko vizuri.
Pili, More Defensive DM. Hapa nazungumzia wale viungo wakabaji wanaokaba zaidi ya kushambulia. Watu kama Matic, Kasemiro, Fernandinyo, na sisi tunao Eric Dier na kaka yetu Wanyama. Hapa pana shida. Wanyama ni expendable na ni dhahiri yuko out of form. Dier naye yuko out of form na haeleweki lini ata-step up. Akicheza vizuri game moja, mbili au tatu anaharibu.
Kocha amekuwa akilazimika kuwatumia Winks na Sissoko kitu ambacho hupelekea DM kufa kabisa. Hapa natarajia dirisha lijalo asajiliwe mtu kama Matic/McTominy ili pengo lizibwe.
Sent using
Jamii Forums mobile app