Hivi itakuja kutokea na sie viongozi wetu achilia mbali rais akawa na watoto wapo jeshini, waalimu, polisi, magereza, kufanya kazi kwenye halmashauri, na si kwenye makampuni makubwa makubwa na zile taasisi nyeti
hata tanzania kuna wazee na makabila mengi tu yenye tabia hizo chafu na bahati nzuri sana yanajulikana. iweje hujayataja hayo na umekimbilia upesi kwa watutsi wa nchini rwanda?
na ndiyo maana pakawa na huu msemo " the beauty lies to the eyes of the beholder ". hivyo mtazamo wako hautushtui kwani yawezekiana pia hata sisi tukimjua girlfriend wako au mkeo ambaye pengine wewe ndiyo umeona kuwa mrembo kuliko wote sisi tukaishia tu kumwona ndiyo mbaya kuliko wote na hafai.