figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,676
- 59,167
CCM imewachukua miaka 20 kuhakikisha wanaweka Wanachama, Makomredi, Makada na Wakeleketwa wa CCM kwenye Mhimili ya Serikali kama Mahakama, Jeshi, Polisi, Usalama wa Taifa, Uhamiaji, Magereza na JKT na nafasi za juu za Mamlaka. Pote sasa wamefanikiwa kuweka makada wao. No one can stop CCM now
Hivyo usitegemee, Mamlaka yoyote iwe upande wa Wananchi. No one can stop CCM now
Wote waliopewa Vitengo katika Mamlahizo, Wanategemea ulaji kutoka na Hela za Ufisadi, Wizi, Uzurumaji. No one can stop CCM now
Badala ya Wasaidie Watanzania, Wanasaidia Waarabu na Wazungu. No one can stop CCM now
Sasa hivi CCM wameamua kufanya uharibifu katika Nchi sababu hakuna wa kuwazuia, kuwakemea, kuwanunia wala kuwashauri.
No one can stop CCM now
Viongozi wa dini 90% washafungwa mdomo kwa rushwa. No one can stop CCM now
Sasa wameamua kumwaga damu, kuliza wanafamilia, kuiba watakavyo na kufanya wqtakavyo. Nani wa kuwazuia? No one can stop CCM now
Tunaharibu, tukimaliza muda wetu tushachuma. Tunaenda zetu kizimkazi. Wabara watajijua. No one can stop CCM now
Mbaya saidi Wanatumiwa watu wa Tanganyika kuwanyamazisha watanganyika.
Hela inaongea. No one can stop CCM now
Atakayekosoa CCM au Viongozi wake, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwq na kupotezwa. No one can stop CCM now
Atakayekemea Ufisadi, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwa na kupotezwa. No one can stop CCM now
Atakayeongea neno akiwa CHADEMA, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwa na kupotezwa. No one can stop CCM now
Historia ya Nchi kuhusu mauaji imeandikwa upya kwenye Uongozi wa Mwanamke wq kwanza kuiongoza Tanzania.. Mauaji ya kinyama na umwagaji damu wa hari ya juu umerekodiwa Tanzania mwaka 2025. No one can stop CCM now
Tanzania itakuwa Nchi pinidi Mihimili ikijitegemea. Baada ya Katiba mpya. Ila sasa hivi Tanzania ni pango la Wanyang'anyi.
Hivyo usitegemee, Mamlaka yoyote iwe upande wa Wananchi. No one can stop CCM now
Wote waliopewa Vitengo katika Mamlahizo, Wanategemea ulaji kutoka na Hela za Ufisadi, Wizi, Uzurumaji. No one can stop CCM now
Badala ya Wasaidie Watanzania, Wanasaidia Waarabu na Wazungu. No one can stop CCM now
Sasa hivi CCM wameamua kufanya uharibifu katika Nchi sababu hakuna wa kuwazuia, kuwakemea, kuwanunia wala kuwashauri.
No one can stop CCM now
Viongozi wa dini 90% washafungwa mdomo kwa rushwa. No one can stop CCM now
Sasa wameamua kumwaga damu, kuliza wanafamilia, kuiba watakavyo na kufanya wqtakavyo. Nani wa kuwazuia? No one can stop CCM now
Tunaharibu, tukimaliza muda wetu tushachuma. Tunaenda zetu kizimkazi. Wabara watajijua. No one can stop CCM now
Mbaya saidi Wanatumiwa watu wa Tanganyika kuwanyamazisha watanganyika.
Hela inaongea. No one can stop CCM now
Atakayekosoa CCM au Viongozi wake, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwq na kupotezwa. No one can stop CCM now
Atakayekemea Ufisadi, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwa na kupotezwa. No one can stop CCM now
Atakayeongea neno akiwa CHADEMA, ni kutekwa, kupigwa, kubambikiwa kesi, kuuliwa na kupotezwa. No one can stop CCM now
Historia ya Nchi kuhusu mauaji imeandikwa upya kwenye Uongozi wa Mwanamke wq kwanza kuiongoza Tanzania.. Mauaji ya kinyama na umwagaji damu wa hari ya juu umerekodiwa Tanzania mwaka 2025. No one can stop CCM now
Tanzania itakuwa Nchi pinidi Mihimili ikijitegemea. Baada ya Katiba mpya. Ila sasa hivi Tanzania ni pango la Wanyang'anyi.