karv JF-Expert Member Dec 26, 2019 1,799 3,221 Aug 16, 2022 Thread starter #21 whiteskunk said: Ukikutana na mwanamke ambaye ametoka kuachwa, anakuja na vigezo vyake. Anakuambia I will treat you like a king IF you treat me like a queen. Ultimatum zimakuwa nyingi Click to expand...
whiteskunk said: Ukikutana na mwanamke ambaye ametoka kuachwa, anakuja na vigezo vyake. Anakuambia I will treat you like a king IF you treat me like a queen. Ultimatum zimakuwa nyingi Click to expand...
KateMiddleton JF-Expert Member Mar 15, 2021 3,708 4,428 Aug 16, 2022 #22 Huwezi achana na kila mtu Huwezi vunja kila ndoa Kuna muda inabidi utulie uyajenge Hapo ndo kimbembe Utaona moto wake
Huwezi achana na kila mtu Huwezi vunja kila ndoa Kuna muda inabidi utulie uyajenge Hapo ndo kimbembe Utaona moto wake