Mstarabu,Mpole,anapenda marafiki, mnyenyekevu kwa wenzake ,hana dharau kwa wengne..
Tatizo usimuonee wala kumchokoza kukujeruhi hataona hatari.Hata kama ni mdogo hapendwi kuonewa na mtu yeyote iwe anamzidi umri au la atakujeruhi tu., Ila kuna walio wapole sana na hawana hasira hasa waliolelewa mjini hao wanaitwa "wakurya jina" ila wa kule interior ndio Sumu.