Top 5 ya wagombea hatari kwa uhai wa CCM

Top 5 ya wagombea hatari kwa uhai wa CCM

cbandiho

Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
67
Reaction score
47
Kwa maoni yangu,wagombea wafuatao ni hatari kwa uhai wa ccm,kama miongoni mwa hawa atapitishwa kupeperusha bendera ya ccm,kuna hatar kubwa ya ccm kupoteza urais.

1. Lowassa- Ana kashifa kubwa ya ufisadi wagombea wote wanamnanga kama fisadi,ana makundi(mtandao) ambao ni hatari kwa chama,CCM watatumia nguvu nyingi kujibu hoja dhidi yake (hasafishiki kwa urahisi)

2.Sitta- Kapoteza mvuto hasa baada ya kupuuza maoni ya wananchi kwenye mchakato wa katiba,ana mtandao ingawa umeishiwa nguvu,anaonekana mnafiki na akipitishwa team Lowassa itajitenga naye.

3.Mwakyembe- Huyu naye hana mvuto kwa sasa,kuna kashifa ya bandari inamuandama,yeye na Sitta wanashabiiana katika mienendo yao.

4.Membe- Ana mtandao pia ambao ni hasimu wa mtandao wa Lowassa,anaonekana hana uwezo wa kuwabana mafisadi,hana mvuto sana.

5.Fredrick Sumaye- Hana kashifa nyingi lkn amejiapiza kutoshorikiana na mafisadi,hatari kubwa kwa CCM ni kuogopa mpasuko na kushughulikiwa baadhi ya viongozi mafisadi,lakini hana mvuto sana.

Kwa ujumla CCM ina wakati mgumu,karata itakayocheza ikikosea itakuwa ni turufu nzuri kwa ukawa,kwa hali ilivo naipatia turufu UKAWA kuchukua nchi kwani naiman CCM imeshapoteza ushindi mpaka sasa.
 
Ngumu kutabiri, maana SISIEMU toka 1995 ushindi wao hawategemei kwa sisi dotkomu bali wale wa kijijini ambao fursa ya kuyatambua haya yote haipo. Na uelewa wao kwa mambo ya msingi ya taifa ni madogo sana hivyo hadi kizazi chote kipate elimu na namna ya kukutumia raslimali za taifa kwa manufaa ya nchi na sio kwa tabaka tawala tutapata imani kuwa SISIEMU wanaweza ng'oka. kwa sasa naon abado wapo wapo sana kwa ushindi mwembamba mara baada ya uchaguzi mkuu kutoa matokeo.
 
Usisahau Lowasa pamoja na uchafu wake, anatumia nguvu kulazimisha ccm imteue yeye. Hiyo kwake ni lazima. Sasa kaweka na Watangaza nia mamluki ili siku ikifika wajitoe na waishawishi kamati kwamba wameamua kujiondoa ili wampishe yeye.

Ccm haina ujasiri wa kumkatalia kitu Lowasa kwa sababu ya unafiki na kupoteza mwelekeo ikiwa ni pamoja na kuthamini uwepo wa chama no matter how it looks like kuliko taifa.

Kwa hiyo ccm hawana mbadala zaidi ya kukubaliana na kelele za wapambe kama ilivyokuwa kwa JK.

Usisahau kwamba na Kingunge yuko na Lowasa ili kulinda maslahi ya familia yake.
 
Usisahau Lowasa pamoja na uchafu wake, anatumia nguvu kulazimisha ccm imteue yeye. Hiyo kwake ni lazima. Sasa kaweka na Watangaza nia mamluki ili siku ikifika wajitoe na waishawishi kamati kwamba wameamua kujiondoa ili wampishe yeye.

Ccm haina ujasiri wa kumkatalia kitu Lowasa kwa sababu ya unafiki na kupoteza mwelekeo ikiwa ni pamoja na kuthamini uwepo wa chama no matter how it looks like kuliko taifa.

Kwa hiyo ccm hawana mbadala zaidi ya kukubaliana na kelele za wapambe kama ilivyokuwa kwa JK.

Usisahau kwamba na Kingunge yuko na Lowasa ili kulinda maslahi ya familia yake.

mambo kama hayo ndo yataiangamiza ccm,usione watu wanamshangilia hiyo ni kwa sababu amefanikiwa kuunda mtandao kwa nguvu ya pesa,kuna watu wenye hekima na busara wengi wanakerwa na mwenendo huo,tena kama ccm ikikosea ikamuweka huyo jamaa wewe mwenyewe utajionea...mpasuko utaazia hukohuko ccm
 
Basi Mkulima kutoka KG anafaa :maana hana kundi wala kashfa
 
Kwa maoni yangu,wagombea wafuatao ni hatari kwa uhai wa ccm,kama miongoni mwa hawa atapitishwa kupeperusha bendera ya ccm,kuna hatar kubwa ya ccm kupoteza urais.

1. Lowassa- Ana kashifa kubwa ya ufisadi wagombea wote wanamnanga kama fisadi,ana makundi(mtandao) ambao ni hatari kwa chama,CCM watatumia nguvu nyingi kujibu hoja dhidi yake (hasafishiki kwa urahisi)

2.Sitta- Kapoteza mvuto hasa baada ya kupuuza maoni ya wananchi kwenye mchakato wa katiba,ana mtandao ingawa umeishiwa nguvu,anaonekana mnafiki na akipitishwa team Lowassa itajitenga naye.

3.Mwakyembe- Huyu naye hana mvuto kwa sasa,kuna kashifa ya bandari inamuandama,yeye na Sitta wanashabiiana katika mienendo yao.

4.Membe- Ana mtandao pia ambao ni hasimu wa mtandao wa Lowassa,anaonekana hana uwezo wa kuwabana mafisadi,hana mvuto sana.

5.Fredrick Sumaye- Hana kashifa nyingi lkn amejiapiza kutoshorikiana na mafisadi,hatari kubwa kwa CCM ni kuogopa mpasuko na kushughulikiwa baadhi ya viongozi mafisadi,lakini hana mvuto sana.

Kwa ujumla CCM ina wakati mgumu,karata itakayocheza ikikosea itakuwa ni turufu nzuri kwa ukawa,kwa hali ilivo naipatia turufu UKAWA kuchukua nchi kwani naiman CCM imeshapoteza ushindi mpaka sasa.

Umenena vema kabisa. Hao jamaa ni hatarishi kwa chama
 
Ngumu kutabiri, maana SISIEMU toka 1995 ushindi wao hawategemei kwa sisi dotkomu bali wale wa kijijini ambao fursa ya kuyatambua haya yote haipo. Na uelewa wao kwa mambo ya msingi ya taifa ni madogo sana hivyo hadi kizazi chote kipate elimu na namna ya kukutumia raslimali za taifa kwa manufaa ya nchi na sio kwa tabaka tawala tutapata imani kuwa SISIEMU wanaweza ng'oka. kwa sasa naon abado wapo wapo sana kwa ushindi mwembamba mara baada ya uchaguzi mkuu kutoa matokeo.

Swala lililobaki ni UKAWA kujidhatiti,kuwa pamoja na kuamua kupigana pamoja ili kuiondoa ccm,wakijichanganya hapo wamepoteza uaminifu walionao kwa sasa
 
Watuletee lowasa ili kazi iwe rahisi, asubui tu ukawa tumetangaza ushindi, maana hata ccm wenyewe wakiwemo watia nia wenzake wamesema wazi kua lowasa ni fisadi, sasa sijui akipitishwa watakula matapishi yao wenyewe kwa kuanza kumsafisha.
 
Back
Top Bottom