KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,144
- 32,902
Hakuna kulala by Juma Nature
1.Nikupe nini: mandojo na domokaya
2.asali wa moyo: Insp. Haroun
3.njiwa: Ali Kiba
4.ni wewe: hardmad
5.
Mkali nimekukubali umeweka sawa. Kama nikikosea wewe weka swa, Ngoja niongezeeTaswira ndani ya mboni naota mziki wa kizazi kipya ukielekea mamtoni,wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,watangazaji bila mkwanja uzitia nyimbo kapuni,mdosi ananiambia tangu nigonge copy mia hajauza hata kumi-Man Dojo & Domokaya ft Triple 5 aka Babu
nyingine Wanifuatia nini ya Ray C kibao kimetulia sanaray c ukowapi nikufuate
Rangi ya Chungwa[ /QUOTE]C or OSS
SISI tulijua hiyo nyumba nichambo tu majuto ni mjukuu---DDC, usitumie pesa kama fimbo baba-nafikirI DDC au OSS, UKWELI Nimesikia - mubarak ,wajomba wamechacha - mubarak mwishehe
Habarini ,
Ni wakati mwingine tulivu ambapo pamoja na shughuli za mchana kutwa, hivyo ni wasaa muhimu sasa hivi tujadili kuhusu nyimbo kumi bora zaidi ea mapenzi,
Kama tunavyo jua jinsi mziki wetu unapitia mabadiliko mbalimbali kadri muda unavyo zidi kwendaa
Pamoja na hayo yote zipo nyimbo ambazo zikipigwa redioni huleta hisia murua saana za kimahaba au kukumbusha mahali fulani ukiwa na mpenzi wako
Au pia yaweza kukukumbusha jinsi ulivyo kutana na mpenzi wako au hata tukio lolote lile la mapenzi..
Mimi nyimbo zangu bora kwa wakati wotee za kitanzania
1. Nimekuchagua wewe-Bob Ludala
2. Yalaiti-FA
3. Cindelera Kiba
4.Jibu la furaha_ Ismail
5.Nisamehe-Bob haisa
6. Moyo wangu-diamond
7.Zali la mentali- prof j
Wakuu nawasilisha, wekeni nyinginezo