Toner cartridge and inkjet refills 60% discount

Toner cartridge and inkjet refills 60% discount

1d5a1d5036a1b75de5872144fa222a10.jpg
Bei gani hii
 
Kwanini utumie gharama kubwa kuendesha printer na photocopy machine yako? umewahi kuwaza kwamba unaweza kupunguza gharama za kuendesha printer na photocopy machine yako kwa karibu 60/70% kwa ku refill cartridge yako? Tupo kwa ajili hiyo, tuna refill cartridge/toner cartridges za photocopy&printer za aina yeyote ile iliyoko sokoni sasa kwa bei nafuu kabisa (Inkjet au Laser Cartridge),

Okoa gharama za uendeshaji

Mawasiliano yetu
WhatsApp: 0622070789
CALL: 0622070789
Ama PM
2979b8484cb0a7c20e38de456ddc7b4e.jpg


c0a954696fbd86ffe3b4700d6ecf27d9.jpg



KWANINI UTUMIE 200,000 WAKATI UNAWEZA TUMIA 50,000 AU PUNGUFU??
mkuu hivi print yenyeuwezo wa kawaida tu naweza pata Kwa shing ngap ?
je wino wake unauwezo wa kutoa page ngap
naomba na bei ya wino
 
mkuu hivi print yenyeuwezo wa kawaida tu naweza pata Kwa shing ngap ?
je wino wake unauwezo wa kutoa page ngap
naomba na bei ya wino
Hapa "Print" ulimaanisha printer au? kuhusu printer kama printer machine hizo siuzi, mie nauza wino tu, kuhusu bei ya wino hiyo inategemea na aina ya printer yenyewe
 
Hapa "Print" ulimaanisha printer au? kuhusu printer kama printer machine hizo siuzi, mie nauza wino tu, kuhusu bei ya wino hiyo inategemea na aina ya printer yenyewe
ndio nilimaanisha printer mm nataka nikatumie chuo kama kitega uchumi
 
unaficha nn sasa wakat umetangaza
Kuna jambo gani nimeficha?? ziko products tofaut tofaut zaid ya 50, mkuu, unataka zote niweke hapa??

We hujajiuza ni kwann "wenye uhutaji" hujawaona hapa kwenye post? wanajua uwanja waliopo, anaehtaj anakuja PM, anapiga simu au ananichek WhatsApp, hata huyo nilie mwambia anichek keshanitafuta
 
Kuna jambo gani nimeficha?? ziko products tofaut tofaut zaid ya 50, mkuu, unataka zote niweke hapa??

We hujajiuza ni kwann "wenye uhutaji" hujawaona hapa kwenye post? wanajua uwanja waliopo, anaehtaj anakuja PM, anapiga simu au ananichek WhatsApp, hata huyo nilie mwambia anichek keshanitafuta
Aya nipe bei ya hizi 05A, 85A, 78A, 64A, 26A, 49A, 53A, 12A, 17A ongeza nyingine walau zifike 15
 
Aya nipe bei ya hizi 05A, 85A, 78A, 64A, 26A, 49A, 53A, 12A, 17A ongeza nyingine walau zifike 15
Utaratibu wa mtu anaetaka huduma nimeuweka pale juu na kwenye baadhi ya comments


(NB: Heshimu biashara ya mtu)
 
Utaratibu wa mtu anaetaka huduma nimeuweka pale juu na kwenye baadhi ya comments


(NB: Heshimu biashara ya mtu)
Mbona hili jibu haukulitoa toka mwanzo ? kwahiyo niko sahihi niliposema unaficha na huku unatangaza !!!

PM= Uchochoroni
 
Back
Top Bottom