Niliweke wazi kwenu kampuni ya gas ya tanzania TOL Gases LTD iliyoko pugu road imekuwa shamba la bibi kwa muda mrefu na hii yote inasababishwa na Uongozi mbove chini mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Mr. H.Temu, huyu jamaa amekuwa akifanya kila kitu kama anavyotaka .juzi katangaza nafasi za kazi kwa ma director watu tumeenda kufanya interview kumbe tayari nafasi zote wamepewa wakenya, wanahisa mnalalamika kampuni haipati faida wakati wakenya 4 wanalipwa 500mil kwa mwaka hii kwa sababu MD analipwa 20mil, na madirector 10mil kila mmoja wakati ukiuliza kazi zao ni utumbo mtupu huyo MD kajaza wakenya wenzie na anafanya finita za kufukuza waswahili wote subirini muone.Mr Temu amefanya fitina mpaka mzee Anorld akajiuzulu kisa kampuni ilishaanza kupunguza hasara.
Kuna wabongo mainjia wa ukweli pale TOL wenye elimu ya kweli na uzoefu ndio maana unaona ile mitambo mpaka leo inafanya kazi lakini mishaahara yao ni aibu wanalipwa sio zaidi ya 3m kwa mwezi, pale watu wanaajiliwa kwa memo naomba Uhamiaji muhamie pale muone vituko wahindi na wakenya .
Napata tabu kupata uwezo wa mwenyekiti wa Board waswahili amkeni ile kampuni hawezi kupata hasara mnaliwa...........................................WENYE HISA KATAENI UPUUZI
NAWASIRISHA
MIMI MWENYE HISA ZILIZOCHOKA --TUNTU
Kuna wabongo mainjia wa ukweli pale TOL wenye elimu ya kweli na uzoefu ndio maana unaona ile mitambo mpaka leo inafanya kazi lakini mishaahara yao ni aibu wanalipwa sio zaidi ya 3m kwa mwezi, pale watu wanaajiliwa kwa memo naomba Uhamiaji muhamie pale muone vituko wahindi na wakenya .
Napata tabu kupata uwezo wa mwenyekiti wa Board waswahili amkeni ile kampuni hawezi kupata hasara mnaliwa...........................................WENYE HISA KATAENI UPUUZI
NAWASIRISHA
MIMI MWENYE HISA ZILIZOCHOKA --TUNTU