Toka mtandaoni: Wapungie mkono!

Akajibu kwa upole akinitazama kwa tabasamu akasema. “Katika maisha yetu, kuna watu wako kama gari la taka. Wamejaa misongo, hasira, maumivu, wamechoka kifikra, kiuchumi na kimaisha, na wamejaa masikitiko mengi. Watu hao takataka zao zinazopowazidi hutafuta mahali pa kuzitupa na haijalishi mazingira wanakozitupia.
Hivyo jIfunze kutogombana nao. Wapungie mkono, wape tabasamu, songa mbele. Haikupunguzii kitu. Wala usiruhusu takataka zao zikupate."



Nimwendo wa kupunga mkono na [emoji5] [emoji120]

Sent from my A1601 using JamiiForums mobile app
 
Mshana Jr wewe ni baraka. Ubarikiwe sana kwa kuongeza tabasamu la matumaini kwangu leo.
 
Kwa neno lake hilo la hekima,his malevolent,wizard ,sir mshana jr,the great one,kwa heshima na taadhima na kwa unyenyekevu mkubwa ninamuomba ikimpendeza aniruhusu niutumie uzi wake kuwapungia mkono CCM.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1534][emoji1548]
 
Somo zuri, ubarikiwe.
 
amen
 
Good lesson,

Mshana kageuka mhubiri Injili leo,kazipuuza uchawi na ndumba.
Pamoja na hayo ahsante kwa somo. 😹 😉
 
Ustaarabu/Uungwana/Uvumilivu ni lazima uwe na kikomo.

Sometimes in life we need to fight a good fight in order to defend our dignity, dignity of loved ones or those who are weak and therefore unable to defend themselves.

We need more Lissus in our beloved country.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…