Jurrasic
Member
- Oct 19, 2018
- 67
- 67
Waafrika Ndo tuna kwama hapoo demokrasia demokrasia Nani kasema demokrasia ni kubadilisha vyama au watu!!Kwanini mtu mmoja ang'ang'anie madaraka as if wewe ni Jiwe ukaishi milele ?!. Tujiwekee utaratibu wa kuongozana vizuri toka mtu hadi mwingine na toka chama kimoja hadi kingine . Ndipo hapo mazuri yatakapokuwa endelevu . Nasi hii ya matendo mema kuondoka na kiongozi mhusika.
Mfano kwanini Tz tusijiwekee utaratibu mzuri Leo ?!. Badala ya kusubiri machafuko au vita !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uchumi unaenda vizuri na Mambo yakijamii yamekaa sawa kubadilisha viongozi ili iweje
Unasema walikosa Uhuru haya sasa gadafi kakndokaa Uhuru ndoo huu Sasa
Alaf mfano China wamepitisha raisi wa maishi xin jing ping angalia na uchumi wao
Achana na demokrasia wanaosema wazungu sijui kubadilisha viongozi ,wenyewa kama nchi wanamda mrefu kupractise hizi Mambo wanabadilisha vyama ila Kuna michezo washacheza kwa hiyo sio busara kuiga Kila kitu Cha mzungu au kufuata wanachosema
By the way watu hawaishi kwa Kula demokrasia au hawalipi demokrasia kupeleka watoto shule#maanayademokrasiainabidiiangaliweupya