Hongera sana bibie. Mimi nlimaanisha kukutakia heri ya siku ya kuzaliwaSawa ila nilimaanisha mimi na Gaddafi tumezaliwa tarehe na mwezi mmoja...
Mshana,wakati nasoma hii thread sikujua kama ulipost wewe!! Ila umemaanisha kitu kikubwa sana,najua unajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ba wewe unajua siasaKati ya viongozi bora kutokea, bahati mbaya yanahubiriwa mabaya yake tu.
Loh!chief akili yangu inakataa kwamba hiko kichwa chako unakitumia kwa lengo la kufikiri mambo kwa usahihi.Kosa lake lilikuwa ni kusema "Allah ndio mola wake"
Bora ya waarabu. Migogoro mingi inasababishwa/chochewa na wazungu kwa mfano libya, Venezuela n.k wanajificha nyuma ya demokrasiaSio waarabu kwamba ndio wabaya sana???
NilikuelewaHongera sana bibie. Mimi nlimaanisha kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa
Yaani katika watu wasini-quote kabisa ni wewe u.m.bwa wewe. Achana na mimi na unipigie mbali ukiniona. Fvkc yahLoh!chief akili yangu inakataa kwamba hiko kichwa chako unakitumia kwa lengo la kufikiri mambo kwa usahihi.
By the way kama hilo ndo lilikuwa kosa lake basi waliomuuwa watakuwa walimfanyia jambo la maana sana kumuwahisha kumuona Allah,mimi naamini zilikuwa sababu za kisiasa haiwezi kuwa sababu dhaifu kama unavyotaka kutuaminisha.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Natamani kujua more brooBora ya waarabu. Migogoro mingi inasababishwa/chochewa na wazungu kwa mfano libya, Venezuela n.k wanajificha nyuma ya demokrasia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unadhani birthday yako ntaijuaje?? Busara ni kuku-wish tu na siku ikifika itakuwa nshaku-wish, unaonaje??Nilikuelewa
Ila nimeshangaa kwanini unitakie leo heri ya kuzaliwa wakati sio birthday yangu
Naona ni mpyaSasa unadhani birthday yako ntaijuaje?? Busara ni kuku-wish tu na siku ikifika itakuwa nshaku-wish, unaonaje??
Kuna documentary itafuteNatamani kujua more broo
Yaani katika watu wasini-quote kabisa ni wewe u.m.bwa wewe. Achana na mimi na unipigie mbali ukiniona. Fvkc yah
Kwanini mtu mmoja ang'ang'anie madaraka as if wewe ni Jiwe ukaishi milele ?!. Tujiwekee utaratibu wa kuongozana vizuri toka mtu hadi mwingine na toka chama kimoja hadi kingine . Ndipo hapo mazuri yatakapokuwa endelevu . Nasi hii ya matendo mema kuondoka na kiongozi mhusika.Kwa hiyo sasa ni raha wamepata uhuru au sio?? Shit h.ole
Sure thingKuna documentary itafute
Truth exposed: Muammar Gaddafi: the real reason why lybia was attacked.
Kuna mdau amechambua vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app