yaani kisa katapeliwa vidola 250 ndo anataka apewe show halafu ndo alipe,kwanza ni dollar ya wapi us au ya kwa bob mugabe.
kwanza nani kamwambia kuwa wewe wewe unajiuza,hebu nikabidhi nimkomeshe huyu bazazi
wewe waona ni hela hiyo?
Basi mie ndio nimejiunga jana, account yangu bado mpya naichana kwenye makaratasi.
Nishapata mteja mmoja ila mie tunafahamiana.
Nasikia kuna ku-add na kuadua friends baso sijajua.
Afu kuna mmoja kaji-add sijui vip siwezi kumtoa
Nahitaji twisheni kwa kweli
huyu mwarabu wa leo kaniondolea mudi kabisa nitawamis maclass mate kweli jamani.Basi mie ndio nimejiunga jana, account yangu bado mpya naichana kwenye makaratasi.
Nishapata mteja mmoja ila mie tunafahamiana.
Nasikia kuna ku-add na kuadua friends baso sijajua.
Afu kuna mmoja kaji-add sijui vip siwezi kumtoa
Nahitaji twisheni kwa kweli
Dah zare hiyo ikinitokea mm siiachi
Konnie bana..
Acha sanaa....
JJniambie jina langu linaanzaje?
OTIS
Smile kaleta tu hapa story lakini hawezi jitoa fb
OTIS
nimejitoa kweli mamito sipendi upuuzi miekama kweli huyu mrembo anatudanganya atakua haamini,hata hivyo facebook kwani mtu unaweza kujitoa completely,nadhani unaweza kujitoa kwa muda kisha ukitaka una activate profile,so labda alijitoa kwa dk kadhaa then akaactivate mambo lol