Ooh thanks mkuu nmepata kitu hapoUkweli ni zaidi ya uaminifu maana kuwa mkweli ni kuzungumza na kutenda yale yanayopaswa bali kua muaminifu nikutenda kwakuhakikisha hutoki nje ya makubaliano.
Kwamaana nyingine nikwamba mnaweza mkakubaliana kutotenda haki na atakaye to a siri ya makubaliano hayo sio muaminifu
Ndio maana watu hali viapo vya ukweli bali wanakula vya uaminifu kwamaana ya makubaliano
Uongo ni kusadikisha kitu ambacho sicho na udhalimu ni kufanya mambo ambayo hupendi wewe kufanyiwaNini tofauti kati ya uongo na udhalimu?
Nisha kutafunia, meza sasa wewe mwenyeweAhaa nifanyie link sasa kwenye tofauti kati ya ukweli na uaminifu mkuu
Hapo mkuu umenichanganya, kusema uaminifu ni zaidi ya ukweli, Je nikiwa mwaminifu kutunza baya la mtu alilofanya kwa mtu flani labda? Inakuaje hapoUkweli ni kusema kwa usahihi kile kilichotendeka! Na uaminifu ni kitendo cha kuwa muungwana na kutokuwa mswahili!
Kiufupi uaminifu ni zaidi ya ukweli wenyewe kwa sababu ukweli huusemea sana uaminifu ingawa uaminifu nao unayo tabia ya kuujenga ukweli.
Kwa hiyo uaminifu na ukweli ni kama sarafu yenye pande kuu mbili zinazotegemeana.
Huo ni uaminifu katika namna nyingine isio sahihi! Ni sawa na kutumia neno " athari" athari inaweza kuwa hasi au chanya, kwa hiyo uaminifu nao hivyo hivyo unaweza kuwa hasi au chanya lakini inategemea unakuwa mwaminifu kwa nani?Hapo mkuu umenichanganya, kusema uaminifu ni zaidi ya ukweli, Je nikiwa mwaminifu kutunza baya la mtu alilofanya kwa mtu flani labda? Inakuaje hapo
asante, nmepata kitu hapoHuo ni uaminifu katika namna nyingine isio sahihi! Ni sawa na kutumia neno " athari" athari inaweza kuwa hasi au chanya, kwa hiyo uaminifu nao hivyo hivyo unaweza kuwa hasi au chanya lakini inategemea unakuwa mwaminifu kwa nani?
Kuhusu ukweli, ukweli ni kitu ambacho kinakubalika kwa wengi hata kama sio sahihi, na ndio maana kuna utofauti kati ya ukweli na uhalisia.
Trust badala ya faithfulnessUkweli ni truth na uaminifu ni Faithfulness
Katika context ya kuelezea jambondo na Mimi napopataka apoo![]()