Tofauti ya TAESA na PSRS ni nini?

BOFREE

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
985
1,287
wakuu niende kwenye mada ivi tanzania employment agency(TAESA) ambayo ipo chini ya ofisi ya waziri mkuu ajira vijana na ulemavu inaweza kufanyisha interview na kuajiri wafanyakazi wa serikali wakudumu au ni kwaajili ya internship na kuwatafutia vijana ajira private sector tu na je tofauti yake na pablic service recruitment secretariat (psrs) iliyo chini ya wizara ya utumishi ni nn?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
wakuu niende kwenye mada ivi tanzania employment agency(TAESA) ambayo ipo chini ya ofisi ya waziri mkuu ajira vijana na ulemavu inaweza kufanyisha interview na kuajiri wafanyakazi wa serikali wakudumu au ni kwaajili ya internship na kuwatafutia vijana ajira private sector tu na je tofauti yake na pablic service recruitment secretariat (psrs) iliyo chini ya wizara ya utumishi ni nn?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pspr iko wap mzee na taesa iko wap
 
TAESA ni mawakala wa ajira, kazi Yao ni kwa watu wa internship tuuu, ambapo wanawatafutia intern sehemu ya kupata uzoefu popote private au serikali, na wai wanakuwa wanakulipa hela ya nauli 150,000 kwa mwezi ndani ya mwaka mmoja, wanaamini kuwa ndani ya huo mwaka utakuwa na uzoefu na pia utakuwa ushatengeneza connection

Na hao recruitment ninavyoelewa, ni mawakala wa ajira za serikali za kudumu
 
Back
Top Bottom