Tofauti ya mwanamke na mwanamume jukwaa hili

Milale

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
494
189
Mwanamke akipost post kuwa anatafuta kazi wachangiaji huja kwa wingi sana na kumuahidi ajira.. Ila mwanamme akipost kuwa anatafuta kazi wachangia huwa wachache sana na wengine humvunja moyo mtafutaji kabsa. Je tatzo huwa ni lipi ??
 
JF ni sehemu ya propaganda za kisiasa, usiichukulie serious sana kwenye mambo ya msingi

Kumbuka hakuna mtu mwenye mafanikio, au mwenye akili timamu na malengo anaepatikana na kutukanana humu 24/7 kwasababu ya siasa
Omba Radhi kwa hii dharua uliyoionyesha dhidi ya mtandao huu.

JF haiko kama usemavyo, wewe ndiye umeshindwa kuitumia effectively. Wako wenye mafanikio na wenye akili timamu wengi humu kuliko unavyodhani.
 
Mwanamke akipost post kuwa anatafuta kazi wachangiaji huja kwa wingi sana na kumuahidi ajira.. Ila mwanamme akipost kuwa anatafuta kazi wachangia huwa wachache sana na wengine humvunja moyo mtafutaji kabsa. Je tatzo huwa ni lipi ??
Hahahaha
 
kila mahal tunapendelewa ,, ww katafute tu kazi utapata ,,hilo lisikuktishe tamaa
 
Kuna uzi wangu niliishia kutukanana na watu tu, nnatafuta kazi afu kinakuja kibwengo kuleta dharau.
 
Mwanamke akipost post kuwa anatafuta kazi wachangiaji huja kwa wingi sana na kumuahidi ajira.. Ila mwanamme akipost kuwa anatafuta kazi wachangia huwa wachache sana na wengine humvunja moyo mtafutaji kabsa. Je tatzo huwa ni lipi ??

Members wengi humu ni wanaume, kwaiyo akijitokeza mwanamke kuhitaji jambo lolote ni lazima apewe kipaumbele kuliko mwanaume. Wewe ni mwanaume na nahisi ni mtu mzima haukupaswa kuuliza hili. Jiongeze
 
Umenena kweli kuna mmoja juzi kaanzisha uzi wa kumpenda mtu humu, weeee wanaume wote wameishia huko.

Yaani hapa una nafasi kubwa sana ya kutambua tabia za watu , wanashoboka na id na avatar za kuninuka
 
Kwani hapa JF wanaume na wanawake wanajulikanaje,kuna kitufe chochote cha kuonesha jinsi me/ke?.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom