Tofauti ya halimashauri ya wilaya na manispaa

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
733
Kwa yeyote anayejua kuhusu tofauti iliyopo kati ya halimashauri ya wilaya na halimashauri ya wilaya, na kama kuna uwezekano wa kujuzwa zaidi juu ya mamlaka zake na kwa namna zinavofanya kazi tueleweshane kwa sababu nimekuwa nikipata shida sana kutofautisha.

Karibuni tujuzane
 
Back
Top Bottom