kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 733
Kwa yeyote anayejua kuhusu tofauti iliyopo kati ya halimashauri ya wilaya na halimashauri ya wilaya, na kama kuna uwezekano wa kujuzwa zaidi juu ya mamlaka zake na kwa namna zinavofanya kazi tueleweshane kwa sababu nimekuwa nikipata shida sana kutofautisha.
Karibuni tujuzane
Karibuni tujuzane