maskini umebaki wewe tu Tanzania kwasabb ya ubabaifu na ujuaji wako eti unataka kuajiriwa kwenye kazi ya kuvaa tai na suti 🤣Wamejifunza nini na umasikini wetu! Amani watu wanauliwa mchana kweupe ni amani kwa watu wa CCM huko upinzani kuna waliochinjwa na kupigwa risasi. Nenda Botwana au hata Kenya mtafute mpinzani aliyepigwa risasi au kuuliwa ! Tuache unafiki hakuna cha kujifunza hapa kwetu zaidi ya uchawa
kulalamika, mihemko na ghadhabu itapendeza zaidi gentleman 🐒Labda kujifunza kuiba Kura.
What is the population of Botswana VS Tanzania, by 24-10-2024, population of Botswana was 2,533,948 while Tanzania on the same data, 68,560,157Kwa Africa Norminal GDP Tanzania ni ya kumi (10) kwa US Bilion79. 867 Dollars wakati Botswana ni ya 27 kwa Afrika kwa GDP ya 19.699 US Bilion Dollars. Kwanini wao wapo juu kuliko Tanzania?
Sina uhakika kama umefanya scientific analysis, maana aliyesema Tanzania ni ya 10 na Botswana ni ya 27 sio Mimi, bali ni wataalamu zaidi yangu. I just quoted! Ahahahahaha!!What is the population of Botswana VS Tanzania, by 24-10-2024, population of Botswana was 2,533,948 while Tanzania on the same data, 68,560,157
Hizo hela, (GDP), ni za mauzo ya jumla ya nchi kwa mwaka mmoja, ukizigawa kwa raia wa nchi husika ni raia wa nchi gani atapata pesa nyingi, (as an individual).
Botswana mtu mmoja atapata zaidi ya mara 7 ya mtanzania, nimekujibu tokana na mahesabu yako mwenyewe, hapo inabidi ujizomee
Then the matter is closedSina uhakika kama umefanya scientific analysis, maana aliyesema Tanzania ni ya 10 na Botswana ni ya 27 sio Mimi, bali ni wataalamu zaidi yangu. I just quoted! Ahahahahaha!!
Kama wewe unajua zaidi yao, just present your argument with vivid data. Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha!!!Then the matter is closed
maskini umebaki wewe tu Tanzania kwasabb ya ubabaifu na ujuaji wako eti unataka kuajiriwa kwenye kazi ya kuvaa tai na suti 🤣
wapinzani waache kutegemea ushirikiana, ramli chonganishi na kutoana kafara kwasabab ya uongozi wa ndani ya vyama vyao. waache huo utaratibu na wasisingizie wengine. Wafanye chaguzi zao za ndani kwa amani na kujali utu wa kila moja wao.
siasa za Kenya na kwingineko nadhani ni dhahiri hufuatilii, mfano mdogo tu mwezi ulopita MCA wa kenya wa county ya Wajir alichukuliwa na watu wasiojulikana hadharani mchana kweupe na kesho yake wakamkuta anaelea mtoni...
Lakini hapo Botswana hufahamu kwamba kiongozi wa chama kimoja cha upinzan aliuawa majuzi tu?
Hapo Uganda, Bob wine, Robert Gyagulanyi hakupigwa risasi ya mguu chini ya wiki 3 zilizopita?
Donald Trump hakupigwa risasi ya sikioni iliyomkosa kichwa?
Yaani mambo ya kawaida kwenye siasa yanayotokea kila pembe ya dunia unataka kuja hapa kudekadeka kana kwamba ni jambo jipya au geeni ili sijui upate huruma ya wananchi 🤣
Tanzania itaendelea kuhakikisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania unalindwa kwa nguvu na gharama zozote zile 🐒
wewe kwa maelezo yako tu unavyojieleza inatosha kwa mTanzania yeyote kukujua ulivyo, na kwasababu hiyo nadhani unajulikana vizuri sana gentleman tena bila mbambamba yoyote 🤣Kwa hiyo wewe unataka kusema kuanzia tupate uhuru na Botswana wapate uhuru ni chama kipi kimeleta maendeleo zaidi? CCM?
Pili hunijui hivyo usije kuongea ongea kama unanijua. Na hapa hatuongelei upinzani tunaongea malinganisho ya vyama viwili vilivyo tawala toka uhuru. Usiongelee upinzani ambao haujawahi kutawala wala Uganda ambayo sio demokrasia tunaongelea Botswana. Badala ya kujifunza na umasikini wetu wa kipato cha chini ya $2000 kwa Mwaka kwa mtu wewe unaendeleza uchawa na ndiyo sababu ya umasikini wetu
Na huu upumbavu wa sijui amani amani ndo unaifikisha hii nchi apa ilipo.tunataka maendeleo.Ni muhimu ikafahamika wazi kwamba,
mataifa mengi yanayofanya vizuri kisiasa , kijamii na kiuchumi, Africa Mashariki na Africa Kwa ujumla yamejifunza Tanzania.
ni muhimu zaidi wakaendelea kujifunza zaidi kwenye eneo la ulinzi, usalama na amani, maeneo ambayo bado ni changamoto sana katika maeneo yao.
Tanzania kupitia Chama Cha ha Mapinduzi CCM, itaendelea kua kisiwa cha amani Africa na duniani kote, huku ikiendelea kudumisha umoja, amani, utulivu na utangamano wa wananchi wake kwa kuimarisha utoaji wa huduma bora za kijamii, mazingira bora na ya usawa kisiasa lakini pia, mazingira bora zaidi ya kibishara, uwekezaji, kilimo, ufugaji n.k kua bora zaidi na kuchochea uchumi wa kila mTanzania 🐒
Relax bas gentleman ili ueleze uerevu vyema, makasiriko na ghadhab za nini sasa kwenye jambo muhimu kama hili?Na huu upumbavu wa sijui amani amani ndo unaifikisha hii nchi apa ilipo.tunataka maendeleo.
Utakula hiyo amani??tembeeni basi watanzania muone nchi za watu zilivyo.
Yaan Amani kwenye nchi ni zaidi ya hapo bongo.unatembea saa nane usiku na hukabwi wala kuibiwa.maendeleo ni mpaka unaona aibu.nimefika mahali nimeulizwa my nationality nikasema natoka SA mana ndo angalau kuna eleweka.Ivi kweli kwa rasilimali tulizo nazo tunashindwa kujenga barabara za juu hapo Dar??tumeshindwa kufikisha lami morogoro vijijini umatomboni uko ambako ndo mazao yanatoka???SO SAD
Mimi nakuunga mkono, mimi nimefika Botswana hadi huko Kanye, kuna hospitali inamilikiwa na wasabato inaitwa Kanye Hospital nilikaa hapo kwa muda wa siku 4 nilikuwa naelekea south Africa,Kwa hiyo wewe unataka kusema kuanzia tupate uhuru na Botswana wapate uhuru ni chama kipi kimeleta maendeleo zaidi? CCM?
Pili hunijui hivyo usije kuongea ongea kama unanijua. Na hapa hatuongelei upinzani tunaongea malinganisho ya vyama viwili vilivyo tawala toka uhuru. Usiongelee upinzani ambao haujawahi kutawala wala Uganda ambayo sio demokrasia tunaongelea Botswana. Badala ya kujifunza na umasikini wetu wa kipato cha chini ya $2000 kwa Mwaka kwa mtu wewe unaendeleza uchawa na ndiyo sababu ya umasikini wetu
Umenikumbusha watu wasiojulikana ambao kumbe wanajulikana ila hawatakiwi wajulikaneUmeandika ngonjera ya ajabu kabisa,kwamba Tanzania ina huduma bora kabiaa za kijamii? Ina usawa kisiasa? Yaani kwamba ukimpinga samia hutekwi wala huuliwi tena? Kwamba kura haziporwi tena? Na wakubwa kama fatuma kigondo wakituma watu wakabake na kulawiti wanachukuliwa hatua stahiki kama mimi tu? Nq akina Mafwele wanaweza kusimamishwa mahakamani kujibu tuhuma zao za utekaji na mauaji waliyoyafanya bila upendeleo? Basi hiyo ni tanzania mpya, siyo ile tunayoijua.
Ni muhimu ikafahamika wazi kwamba,
mataifa mengi yanayofanya vizuri kisiasa , kijamii na kiuchumi, Africa Mashariki na Africa Kwa ujumla yamejifunza Tanzania.
ni muhimu zaidi wakaendelea kujifunza zaidi kwenye eneo la ulinzi, usalama na amani, maeneo ambayo bado ni changamoto sana katika maeneo yao.
Tanzania kupitia Chama Cha ha Mapinduzi CCM, itaendelea kua kisiwa cha amani Africa na duniani kote, huku ikiendelea kudumisha umoja, amani, utulivu na utangamano wa wananchi wake kwa kuimarisha utoaji wa huduma bora za kijamii, mazingira bora na ya usawa kisiasa lakini pia, mazingira bora zaidi ya kibishara, uwekezaji, kilimo, ufugaji n.k kua bora zaidi na kuchochea uchumi wa kila mTanzania 🐒
Botswana Democratic Party ni chama tawala cha Botswana na kimeongoza nchi toka uhuru 1966 na CCM ambayo ilikuwa Tano kimeongoza Tanzania toka 1961.
Tofauti kubwa ni kwamba chama cha Botswana kimeleta maendeleo makubwa kwa nchi na kulinda rasilimali.
Chama hiki kimekomesha rushwa . Kwa upande mwingine CCM kimeshindwa kutokomeza utamaduni wa rushwa, umasikini wa kutupa na ubinafsi mkubwa kwa viongozi wetu.
Utamaduni na kinafiki na kufuria kimasikini na uchawa badala ya maendeleo ya watu.
Hivyo tatizo sio kuongoza muda mrefu bali kuleta maendeleo.
Hakuna sababu ya msingi Kenya kutuzidi kiuchumi! Sisi uzalishaji mdogo na rushwa nyingi.
CCM jifunzeni badala ya kutuletea uchawa