Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,964
Operation ni mbwembwe tu na kupunguza ukali wa maneno ila kiuhalisia ni vita.Putin anamaanisha nini anavyosema siyo vita nchini Ukraine?
Miaka ile ya 1990, Rais George Bush mkubwa alipoivamia Iraqi ya Saddam Hussein ilikuwa ni vita kamili lakini yeye akachagua kuiita "Operation Desert Storm"