mshale21 JF-Expert Member Joined Apr 8, 2021 Posts 2,514 Reaction score 6,070 Aug 25, 2022 #1 Naomba kujuzwa tofauti kati ya Tozo na VAT. NB: Tozo kwa maendeleo ya taifa, tutoe tozo tufike mbali kama taifa
Naomba kujuzwa tofauti kati ya Tozo na VAT. NB: Tozo kwa maendeleo ya taifa, tutoe tozo tufike mbali kama taifa
C CHECHEMLENDA JF-Expert Member Joined Sep 19, 2021 Posts 253 Reaction score 344 Aug 25, 2022 #2 Tozo ni kwa maendeleo ya Taifa, ila VAT sijui wana kusudi0 gani?!
M Migato nvaningi Senior Member Joined Sep 7, 2017 Posts 113 Reaction score 99 Aug 25, 2022 #3 Tozo ni faini, VAT sijui ni ushuru! Kwanza wameandika Kwa lugha ya malkia ili wanichanganye Mimi mnyonge. Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tozo ni faini, VAT sijui ni ushuru! Kwanza wameandika Kwa lugha ya malkia ili wanichanganye Mimi mnyonge. Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
batmanwafez JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 882 Reaction score 1,361 Aug 25, 2022 #4 Yani hapo ni sawa na mtu kuwa na hela kwenye mfuko wa shati na nyingine kwenye mfuko wa suruali....hela zote zako mifuko tu ndo imetofautiana
Yani hapo ni sawa na mtu kuwa na hela kwenye mfuko wa shati na nyingine kwenye mfuko wa suruali....hela zote zako mifuko tu ndo imetofautiana
Siri ya sifuri JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 2,581 Reaction score 2,224 Aug 25, 2022 #5 mshale21 said: Naomba kujuzwa tofauti kati ya Tozo na VAT. NB: Tozo kwa maendeleo ya taifa, tutoe tozo tufike mbali kama taifa View attachment 2334181 Click to expand... mkuu hapo tofauti ni lugha tu, VAT ni Kiingereza na TOZO ni Kswahili.
mshale21 said: Naomba kujuzwa tofauti kati ya Tozo na VAT. NB: Tozo kwa maendeleo ya taifa, tutoe tozo tufike mbali kama taifa View attachment 2334181 Click to expand... mkuu hapo tofauti ni lugha tu, VAT ni Kiingereza na TOZO ni Kswahili.
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,093 Reaction score 22,806 Aug 25, 2022 #6 Tozo ni Adhabu au gharama tunayochajiwa raia wa TZ kwa ujinga na kutokuwa serious na siasa na maisha yetu. VAT ni kodi ya ongezeko la thamani baada ya bei halisi.
Tozo ni Adhabu au gharama tunayochajiwa raia wa TZ kwa ujinga na kutokuwa serious na siasa na maisha yetu. VAT ni kodi ya ongezeko la thamani baada ya bei halisi.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 72,994 Reaction score 102,833 Aug 25, 2022 #7 VAT hukatwa kwenye makato ambayo serikali itapata 30% kama corporate Tax. Tozo ni dude fulani lisiloeleweka
VAT hukatwa kwenye makato ambayo serikali itapata 30% kama corporate Tax. Tozo ni dude fulani lisiloeleweka